Wakuu nimeitwa TRA. Usalama upo kweli?

Wakuu nimeitwa TRA. Usalama upo kweli?

Yes vimeo ninavyo tangu elfu 2021. Nilifunga ofisi wakati wa Corona
Ulivyofunga je uliandika barua kuwajulisha? Maana utakua na unfilled return za kutosha. Na je ulikua presumptive au trader wa kawaida mwenye wafanyakazi?
 
Ilitakiwa uwaulize hayo maswali yote unaitikiaje wito bila kupata details za kueleweka?
Inatakiwa wakutumie nakala ya maandishi inayoelezea sababu ya wito na deadline ya kwenda,mambo ya kiofisi hayaendi kihuni hivyo
Mwache ajichanganye abinywe kende ,atambue wahuni wapo kazini
 
Ulivyofunga je uliandika barua kuwajulisha? Maana utakua na unfilled return za kutosha. Na je ulikua presumptive au trader wa kawaida mwenye wafanyakazi?
Nilikuwa na mdada wa kazi ofisi ni. Ni kistationery tu kaka na internet cafe... Hapo kwenye barua ndo nilichemka sikuandika ila mwaka 2022 nilienda nikalipa kama laki 3 nilikua na Deni la laki saba so toka elfu 2022 hadi Leo sijalipa
 
Nimepigiwa simu TRA wananiita. Namba ya simu ni ya kawaida. Je uzima upo? Sehemu niliyo itwa ni tofauti na kituo changu cha Kodi..

Usalama upo kweli?

N. B : Mimi sio mfanyabiashara mkubwa wala wa Kati.

Unaitwaje mahali na unaacha kuhoji hoja au maswali ya msingi?
 
So ulikua presumptive. Maana ilikua huge paye. Acha hofu. Nenda hapo mwenge waone file ambazo hujafile then lipa tulia. Wakikutaka watakutumia barua ya wito.
Asante sana and vipi nikienda hapo Mwenge na hela ambayo ni Robo ya Deni langu then niwaombe wanipe muda wa kulipa kidogo kidogo? Inakubalika?
 
Ahaa sawa sawa dah Wacha ntaenda ofisini Mwenge
Tena kama mwenge hawawezi poteza mda ku deal na mteja wa 2 millions, pale mwenge nilikuwa na deni la karibia 90 million na sijawai pigiwa simu wala message na nina dunda kwa amani kabisa 😅😅
 
Asante sana and vipi nikienda hapo Mwenge na hela ambayo ni Robo ya Deni langu then niwaombe wanipe muda wa kulipa kidogo kidogo? Inakubalika?
Siku hizi fedha inalipiwa kwa control number. Kama we presumptive nenda utengenezewe control number ukalipe. Usiende na fedha mkononi.
 
Tena kama mwenge hawawezi poteza mda ku deal na mteja wa 2 millions, pale mwenge nilikuwa na deni la karibia 90 million na sijawai pigiwa simu wala message na nina dunda kwa amani kabisa 😅😅
So hao watakuwa vishoka au wahuni wa mtaani?
 
Nimehoji kaniambia we njoo tutazungumza huku ndio maana nimestuka

Basi hakuna haja ya kwenda kama kashindwa kufunguka...

In the meantime wewe jitahidi u comply na matakwa ya TRA, kama.ulikuwa na madeni /malimbikizonenda kafanye clearance...
 
Usiwe na wasiwasi, ila ilipaswa wauliza Kwa Nini wanakuita eneo ambao sio lako la Kodi, ila hakuna shida, kabla hujaenda huko pita kwanza eneo lako la Kodi uwaulize kuhusu huo wito, only and only then ndo uamue kwenda huko.

Kama ni TRA kweli, then wala usiwe na wasiwasi, ila shida ni kama ni chambo na umeshawapa mademu walko wa Jamii forums number ambao ni madume jike kama wale walioingia mahakamani Jana!
 
Back
Top Bottom