Wakuu naomba mnieleweshe concept ya Mungu katika ukristo

Nafsi ni ile sehemu ambayo ina ufahamu wamtu mwenyewe au kiini cha ubinafsi wa mtu. Kazi yake ni:
- Kufikiri – Kutafakari, kuona
-Hisia – Kujisikia kuwa na tamaa na Upendo
-Utashi – Nia, Kuamua.

Roho ni ile sehemu ya mtu yenye ufahamu wa Mungu, ambayo hufanywa hai na hutiwa nguvu na Roho wa Mungu wakati wa Wokovu. Kabla ya mtu Kuokoka, sehemu hii, haifanyi kazi kwa utimilifu kabisa kwa sababu ya dhambi. Dhambi huifanya kuondolewa nguvu ya kutenda kazi sawa sawa, kwa Amani na Roho ya Mungu. Lakini kupitia Ubatizo wa Roho Mtakatifu, mwanadamu hupokea nguvu ya kiroho, inayomwezesha kuishi maisha ya Kristo. Roho inahusika na:-
-Maombi na Ibada na Mungu,-Ushirika na Mungu, -Mapokezi ya karama za Roho,
-Vita vya kiroho,-Kuunda Mawazo na Ndoto,-Dhamira, Kupambanua,-Udadisi, Kuuliza,-Ufahamu, Kutafsiri.
This is another confusion! kwahiyo mtu akiwa hajabatizwa ni makosa ya nani? yake yeye au wazazi wake? either way unachosema kinamaanisha bila ubatizo huyu mtu bado hana roho mtakatifu ndani yake. Sasa kama mtoto hakubatizwa atakae adhibiwa ni nani? yeye mwenyewe au wazazi wake? na yeye kwa kukosa roho mtakatifu ndani yako kutokana na kutobatizwa akaendelea kutobatiza kizazi chake, nani ataadhiwa kwa upotovu wa hiki kizazi pia?
 
Fikiri hili, wewe mleta mada ni mtoto (mbele ya mzazi wako), ni mume (mbele ya mkeo), ni baba (mbele ya watoto wako), mfanyabiashara (mbele ya wateja wako). Je, wewe ni mtu yule yule au mtu tofauti?
Isipokuwa Yesu tu ni mwana kwake yeye mwenyewe na ni Baba kwake yeye mwenyewe, au sio?
 
Ni upumbavu wa SGR kumkataa Mungu halafu ukiulizwa mbingj na ardhi kaziumba nani?

Unaanza kuleta theories ambazo hata chizi hawezi kukubali
Ni upumbavu wa SGR kusema na kulazimisha Kwamba kila kitu kiliumbwa halafu ukiulizwa uthibitisho wa Mungu huyo kuumba dunia huna.

Au ukiulizwa Mungu huyo aliumbwa na nani hujui.

Unafosi mafikirio yako uchwara yasiyo na uthibitisho wowote ule wala mantiki yawe ukweli.

Damn Fool.
 
Sawa mkuu

Swali neno la MUNGU ni MUNGU pia au linabaki kuwa neno la MUNGU?
Neno lako si niwewe au? Maneno ya mtu yeyote ni nafsi ya mtu. Ndiyo maana tunaweza kuhukumiwa na maneno yetu Wenyewe. Kwa hiyo neno LA Mungu ni nafsi ya Mungu Mwenyewe au ni Mungu Mwenyewe
 
Hicho kitabu ukikiweka humu jukwaani unishtue....

Yesu ni 'Neno' la Mungu ila alifanyika mwili tu (yaani alivaa mwili wa kibinadamu).... huwezi kumtenganisha Mungu na 'Neno' lake maana hata Dunia iliumbwa kwa 'Neno'..

Yohana 1
1 Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu.

2 Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu.

3 Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika cho chote kilichofanyika.

4 Ndani yake ndimo ulimokuwa uzima, nao ule uzima ulikuwa nuru ya watu.

Hilo fungu la maandiko kutoka Yohana 1:1-4 limejieleza vizuri Sana.

Hili fungu jingine kutoka Yohana 17 limemueleza Yesu ni nani na ana mamlaka Gani ila ni vizuri kusoma Yohana 17 yote Ili uelewe vizuri zaidi.

Yohana 17
5 Na sasa, Baba, unitukuze mimi pamoja nawe, kwa utukufu ule niliokuwa nao pamoja nawe kabla ya ulimwengu kuwako.

21 Wote wawe na umoja; kama wewe, Baba, ulivyo ndani yangu, nami ndani yako; hao nao wawe ndani yetu; ili ulimwengu upate kusadiki ya kwamba wewe ndiwe uliyenituma.

22 Nami utukufu ule ulionipa nimewapa wao; ili wawe na umoja kama sisi tulivyo umoja.

Sina shaka na haya maandiko hayo,ninashaka na kile ninachokiita unbiblical doctrines.
Mleta mada anataka kujua Mungu wa biblia ni watatu ama mmoja.

1kor 8:6 "lakini kwetu sisi Mungu ni mmoja tu, aliye Baba, ambaye vitu vyote vimetoka kwake, nasi tunaishi kwake; yuko na Bwana mmoja Yesu Kristo, ambaye kwake vitu vyote vimekuwapo, na sisi kwa yeye huyo".

Biblia inamtaja Mungu Baba na Yesu Kristo.Katika biblia nzima Yesu haitwi Mungu Baba bali Baba wa milele,Why Baba wa Milele na wakati si Mungu Baba.

1Waebrania 2:14-14
“Nipo hapa, na pamoja si wapo watoto
niliopewa na Mungu.”

14 Watoto hawa ni watu walio na miili ya damu na nyama".

So, Yesu ni Baba yetu kwa kupewa na Mungu ambaye ni Baba yake.

So,
mimi sipingi Yesu kuitwa Mungu,napiga Yesu kuitwa Mungu (nafsi) kitu ambacho kwenye biblia hakimo.

Yesu ni Mungu kwa asili na sio Mungu NAFSI.
Kumuita Yesu Mungu si Dhambi ni sahihi kwa maana amerithi Jina Baba yake so ana haki ya kutumia Jina ilo.
Ndiyo maana waliomjua Yesu ni nani walimuabudu.aliabudiwa na wanafunzI wake,watu na Malaika.
Mtoto wa Mungu ni Mungu ila huyo mtoto si Baba.
Kukazia maelezo yangu nimenukuu Quran As Zhukruf 83
Muhammad anasema" Say:
"If (Allah) Most Gracious had a son, I would be the first to worship."

Hapo Muhammad hasemi kuwa Mungu ana mwana ila anasema"kama Mungu angelikuwa na Mwana,yeye(Muhammad) angelikuwa wa kwanza kumuabudu mtoto huyo maana mtoto wa Mungu ni Mungu".
Sasa sisi katika Biblia Mungu ana mwana,na huyo mwana alifanyika mwili, so mkristo kumuabudu Yesu si dhambi,si dhambi maana ana uungu anauungu ndani yake japo si Mungu Baba.

Wafilipi 2:6
"Alikuwa sawa na Mungu katika namna zote,
lakini hakufikiri kwamba kuwa sawa na Mungu
kilikuwa kitu cha manufaa kwake"
Yesu alikuwa sawa na Mungu,kumbe kuna Mungu ambaye Yesu alikuwa nae sawa".
Sasa huyo Mungu ambaye Yesu alikuwa nae sawa ndiyo bibilia inamsema hakuna aliyewai wai muona na akaishi".


Yesu ametoka ndani ya Mungu(mzaliwa wa kwanza).
Sisi tumeumbwa(viumbe) na tumepewa nafasi ya kufanyika kuwa wana Mungu kupitia Yesu Kristo ila yesu ni mzaliwa wa Mungu,Yeye hafanyiki kuwa mwana wa Mungu bali yeye ni mzaliwa.


Yeye amekuwepo na Baba kabla ya Dunia na vitu vyote kuumbwa.

Yohana 17 :3."Nao uzima wa milele ndio huu, wakujue wewe uliye Mungu wa pekee, wa kweli na Yesu Kristo uliyemtuma".
 
Habari

1. Wengine wanasema kuna Mungu Baba, mwana na roho mtakatifu

2. Wengine wanasema Mungu mmoja

3. Wengine nasikia wanasema ana nafsi tatu

Na je kama ana nafsi tatu kwa nini munamuabudu sana YESU kuliko huyu Mungu Baba

Lengo ni kuelewa kipi ni kipi maana naona kama wanatofautiana sana juu ya concept ya Mungu

Shukrani
Kama unataka kujua ukristu basi wewe mwenyewe anza kwa kuwa mkiristu
 
Mimi ninaona kila kitu kina chanzo chake ni hicho chanzo ndio Mungu. Hivyo Mungu wapo wengi. Labda Mungu hao wengi wamchague mwenye kiti wao.
 
Yohana 14:28
Mlisikia ya kwamba mimi naliwaambia, Naenda zangu, tena naja kwenu. Kama mngalinipenda, mngalifurahi kwa sababu naenda kwa Baba, kwa maana Baba ni mkuu kuliko mimi.

Muumba ni mmoja Yesu ni kati ya walitumwa.
Huu ndio ukweli ambao Wakristo tunaupindisha
 
Nina shida kidogo na ongea yangu na andika yangu.. uwa ninaongea na kuandika kimamlaka zaidi ndiyo maana mtu asiyenijua anaweza hisi nafoka kumbe sio.
Nichukulie poa.

Chief,hizo verse ulizotoa hazimsemi Yesu kama ulivyoeleza hapo juu.
Yesu ni mwana wa Mungu hivyo ana uungu. kuna verse nimeisahu Mungu anamuita Yesu Mungu lakini hiyo haina maana kuwa Yesu ndiye yule Mung ambaye biblia inamsema hakuna aliyewai muona akaishi.
Maisha yake yote hapa Duniani yesu alisema Yeye ni mwana wa Mungu na ilo likafanya wayahudi wakataka kumpiga.
Katika biblia tuna Mungu Baba,mwanae Yesu Kristo na Roho wa Mungu.
Roho wa Mungu si Mungu nafsi.
Yesu Kristo si Mungu nafsi.
1Petro 3:22
"ambaye alikwenda mbinguni na sasa amekaa upande wa kulia wa Mungu, anatawala juu ya malaika, wakuu na wenye enzi".

Yesu amakee upande wa kulia wa Mungu,sasa kwanini wewe useme Yesu ni Mungu?.
Kuna kitabu nikikumbuka nitakutumia jina.
Kinasema " Jesus is God infinitely but not in personality.

Kusema Yesu ni Mungu,na roho wa Mungu ni Mungu na Baba ni Mungu automatically wanakuwa ni mungu 3 kitu ambacho kwenye biblia hakipo.
Caged bird, huongei na kuandika kimamlaka Kama unavyodai. (Binafsi naona unyenyekevu mwingi ndani yako)Nafurahia uandishi wako na jinsi unavyo-reason kwa kupatana na facts zilizopo kwenye kitabu tunachoamini kinamfafanua Mungu.

Swali kwako: Kwanini huyu Mungu mmoja, muumba wa vyote, hajajiacha wazi kwetu ili tumjue kwa urahisi? Mbona oksijeni ameacha ipatikane freely, hatu- struggle kuipata. Kwanini elimu kumhusu ni ya kificho kiasi kwamba imetokeza mianya ya watu Fulani wasio waadilifu kumtumia kutawala na kuwaumiza wenzao. Ninaamini yupo, kwa sababu complexity iliyopo kwenye function za ulimwengu na vilivyomo zinafunua wazi intelligence isiyopimika iliyohusika kuvitokeza hivyo. Lakini ndio hivyo Tena, amefichika.
 
Neno lako si niwewe au? Maneno ya mtu yeyote ni nafsi ya mtu. Ndiyo maana tunaweza kuhukumiwa na maneno yetu Wenyewe. Kwa hiyo neno LA Mungu ni nafsi ya Mungu Mwenyewe au ni Mungu Mwenyewe
Kwahiyo nafsi ni neno la mtu? BUbu hana nafsi?
 
Hapo tayar unakua ushatengeneza dhana ya miungu kitu ambacho ni upagani
Dhana ya Miungu unasema ni upagani kwa sababu huelewi maana yake.

Hebu angalia Yesu alisemaje hapa:

Wayahudi wakamjibu, Kwa ajili ya kazi njema hatukupigi kwa mawe; bali kwa kukufuru, na kwa sababu wewe uliye mwanadamu wajifanya mwenyewe u Mungu. Yesu akawajibu, Je! Haikuandikwa katika torati yenu ya kwamba, Mimi nimesema, Ndinyi miungu? Ikiwa aliwaita miungu wale waliojiliwa na neno la Mungu; (na maandiko hayawezi kutanguka); je! Yeye ambaye Baba alimtakasa, akamtuma ulimwenguni, ninyi mnamwambia, Unakufuru; kwa sababu nalisema, Mimi ni Mwana wa Mungu?
Yn 10:33‭-‬36 SUV


Katika Torati wale waliojiliwa na NENO la Mungu, Mungu mwenyewe aliwaita wao ni Miungu.
Hawajui wala hawafahamu, hutembea gizani; Misingi yote ya nchi imetikisika. Mimi nimesema, Ndinyi miungu, Na wana wa Aliye juu, nyote pia. Lakini mtakufa kama wanadamu, Mtaanguka kama mmoja wa wakuu.
Zab 82:5‭-‬7 SUV


Katika zaburi hapo juu maana yake rahisi ni hii:

Ninyi ni Miungu lakini Mtakufa kama wanadamu kwa sababu hamjui wala hamfahamu yaani mnatembea gizani.
"Hamjui kuwa ninyi ni Miungu."

Mwana wa Mungu, yaani binadamu mwenye roho ya Mungu naye ni Mungu. Mungu siyo Yesu tu hata wewe ni Mungu kama umezaliwa na Mungu(yaani kiumbe kipya kilichozaliwa kupitia Kristo).
 
Mungu ni roho mtakatifu aliyekuwepo, aliyepo sasa na atakayekuwepo milele yote (Yohana 4:24, 2 Wakorintho 3:17)

Utatu Mtakatifu wa Mungu umetokana na utendaji kazi wa Mungu mwenyewe, unaweza kuingia google kuna mafundisho mengi sana yapo kuhusu UTATU MTAKATIFU WA MUNGU. 🤒😎
 
Nafsi ni ile sehemu ambayo ina ufahamu wamtu mwenyewe au kiini cha ubinafsi wa mtu. Kazi yake ni:
- Kufikiri – Kutafakari, kuona
-Hisia – Kujisikia kuwa na tamaa na Upendo
-Utashi – Nia, Kuamua.

Roho ni ile sehemu ya mtu yenye ufahamu wa Mungu, ambayo hufanywa hai na hutiwa nguvu na Roho wa Mungu wakati wa Wokovu. Kabla ya mtu Kuokoka, sehemu hii, haifanyi kazi kwa utimilifu kabisa kwa sababu ya dhambi. Dhambi huifanya kuondolewa nguvu ya kutenda kazi sawa sawa, kwa Amani na Roho ya Mungu. Lakini kupitia Ubatizo wa Roho Mtakatifu, mwanadamu hupokea nguvu ya kiroho, inayomwezesha kuishi maisha ya Kristo. Roho inahusika na:-
-Maombi na Ibada na Mungu,-Ushirika na Mungu, -Mapokezi ya karama za Roho,
-Vita vya kiroho,-Kuunda Mawazo na Ndoto,-Dhamira, Kupambanua,-Udadisi, Kuuliza,-Ufahamu, Kutafsiri.
Hmmm,

Udadavuaji mzuri--japo upo kwa ufupi mno; na tena ufupisho uliovunjika vunjika.

Siku si nyingi tutaingia kwenye 'mabadiliko makuu ya kijamii' yatakayojengeka na kuimarika kutokana na maarifa ya 'Mwenge wa Uhuru' kuwa wazi, na tena, shughuli ya kuleta mwangaza katika jamii na utu-wa-wana-dunia 'kupata wadau'...

Katika mabadiliko haya 'Kanisa' halitaumbuka... Na hata kama watu wa ndani hasa --watu wa ndani hasa wa kanisa, ni wenye hofu ya mambo fulani kuja kufahamika bila 'matayarisho'-- ni bora washaurike tu ya kwamba: hawana cha kuhofu hasa; hata kama kila kitu kitakuwa wazi, kwa kuwa 'Kanisa' lina 'Thawabu' yake; litapata 'rehema'.

'Kanisa' litaingia kwenye mageuzi makubwa--'uwele utatenganishwa na pumba ' ndani ya miaka hii 25 ijayo kuanzia tuseme 2024...

UTATU karne hii ya 21 ni jambo tunalokwenda kulibaini kiufundi kabisa na tena kwa manufaa yasiyo kifani...

Kwa Elimu 3.0, UTATU ni 'fumbo la imani' kwa 'waja wema' walioandaliwa, jiandaa na tena kuandalika; Kwa hekima ya >'Nuru ya Ufahamu',< tutaotea fremukazi ya Uono na Ufikirifu Mifumo kwa jina la 'Trizaniamu'....

+++++
....
All manifestations are ‘gravitational phenomenas’ directly linked with ‘Consciousness’ power of the Observer—they can likewise be altered by the Observer, given a will to ‘alter charge density of Beingness’ of the observer. Electrical phenomena is also the result of active of power of ‘standing waves’ – standing waves of the ‘manifestation power’.

Education 3.0 is the ‘science 3.0’ of ‘Soul, Intelligence and Beingness’.

The case of all observable world being a ‘thought stuff’ of ‘Consciousness’ and within the ‘Consciousness’, Education 3.0 is the ‘I-ducation’ which is the ‘metaphysics of Education’. In this regard, Education 3.0 consummate Education 1.0 and Education 2.0 to yield ‘Divine Knowledge’. Thus, Divine Knowledge is nothing but the purity of ‘Observation and Integration’ of ‘transcendental sensations/feelings’ in Oneself – basal and ethereal – practically an ‘Individual Phenomena’.

Bashar, the friendly ET, provides the ample basis of gnosis and comprehension of ‘Soul, Intelligence and Beingness’ to hence forth ‘connect’ temporal-spatial systems with ‘informational’ templates of Life and Beingness. Through the instrumentation of ‘Sacred Circuitry’ and the rizayat of ‘Spiraling Cube’.

The ‘infinity stretch’ and ‘the balanced and rhythmic compression and decompression of intelligible/comprehensible ‘system of unit memory qualifiable as spin and velocity’ have ‘Time’ as ‘the agent of neutrality’. In this regard and in concordance to the sacred circuitry, using systems view and thinking, ‘the Center’ arrests all possible contextual intelligible comprehension of the beginnings/origin.

One topographical set of deduction for potential comprehension pertaining to ‘the origin’ is the articulation of ‘the radiant point source’. Thus, all universe is basically ONE; made of a single particle—a particle so minute towards the indefinite point, correspondingly, making it incredibly agile thus incredibly fast – fast moving at an infinity speed, connotative of the capability of it being everywhere and/or anywhere at ‘any time’ and ‘all the time there is’; thus towards all directions – omni present and omni potent.

The origin is ‘the Source/the One/God’ -- as omni present and omni potent ‘Point particle’ which is then the essence of all and everything, and so, present in all ‘space and time’; much so like the very ‘form and energetics’ constituting the universe – universe which is in actual essence, a multiverse of ‘Being and Facets of Nature’-- the Ontology of Institution.

One topographical set of deduction for potential comprehension pertaining to ‘the origin’ is the articulation of the ‘field’ as ‘area(s) of influence’ that invigorates any discernible activity. Towards indefinite constitution of a particle while moving at infinity speed is connotative of ‘Expand’ in the sacred circuitry symbolism. In this regard, the particle qualifies a potential ‘spherical’ constitution with infinity expanse of ‘spherical’ intricateness.

Unlimited expanse of ‘potential activity’ and ‘the activity’ is the contextual ideology which edifies the ‘Cross of Life’ and thus the ‘Cross Eye’ as the appropriation of cube(s) and sphere(s). Thus, the field is something which overshadows any structure and activity, in the sense of unlimited potential, it is the essence of both, chaos and/or order—connotation of the primordial ‘Light’, the light which does not travel, and the very the origin of the spark of ‘Eternal Life’.

One topographical set of deduction for potential comprehension pertaining to ‘the origin’ is the articulation of the ‘neutral infinitude’. Thus, using system view and thinking, all order is possible through polarity in a sense that ‘outward breath’ is the exactly opposite of ‘inward breath’. This is connotative of ‘the Balance’ in the sacred circuitry symbolism. In this regard, time and space are possible when any measure of expansiveness is rhythmically balanced—rhythmically balanced in the ‘Eye of God/the One’--the One in all and everything.

The Eye of God/the One, In this regard of concurrence of inward and outward breath of ALL THAT IS, is ‘the balance’ – Balance which is that very essence of the ‘energetic nodes’ of ‘Sound/Word/Supreme Tone/sacred geometry’ of ‘God/the One/the Source’. Thus as ‘the whole field’ – the ‘whole field’ which is the ‘Power/Glory/Eternity/Kingdom of God’.

Interaction of ‘Sound and Field’ yields the ‘Cross Eye’ – the contexts of ‘the standing waves’ which is the essence of the ALL SEEING EYE – All seeing eye which is intrinsic to all creatures with sentience, conscience and consciousness—‘Beings’ in being and becoming-- as the typical activity of ‘Consciousness in the qualitative ‘Is-ness’. In this regard, ‘the Cross Eye’ is augmented by ‘the Twist of Infinity’ to edify ‘the Cross of Life’; Intricateness of the ‘DNA and Consciousness/Conscious Will to Be’.

Sentience is the amalgamation of senses of self and body into a single thought imbibing contextual awareness/self-awareness. Context is always a circular domain arresting the triangulation of ‘actionable choice making’. It is within this nature, the base of ‘Trizanium’ stretches between the ‘Ontology of Institution’ and ‘Status/Trends of Society’--the ‘capacity of society’ to shift or change their collective/group performance.

Conscience is the ‘intellectual’ element which imbues an Individual or a collective with the senses to determine their friendly/unfriendly disposition. Conscience is the augmentation of ‘behavior’; thus ‘attitude-intention-Skills’ predetermine the capacity of any sentient character to perform its desirable course of action. It is in this domain, education-memory-experience hold significance in determining ‘levels of awareness’ and so forth ‘compatibility’ of learned/unlearned or rather familiar/unfamiliar settings of a certain intelligible ‘structured domain’.

Consciousness is the power that harmonize both ‘Sentience’ and ‘Conscience’ as that which can be ‘Alpha’ and ‘Omega’ of form(s) and the potential intelligent constitutions. It is that very symbolism of ‘wide open eye’— extended connotation of ‘gravity waves’ arresting the contextual intonation of senses’. In this regard, sentience is like the arrested ‘sensibilities’ in the ‘Iris’ of ‘DNA’. Again, using systems view and thinking, there is topographical relationship between ‘Seeing and Sensing’ which bear direct correspondence to ‘Light Encodings and Thought’-- the secret of the left Eye of Horus.

.Context of thoughts, thinking and centered-ness constitute the ‘Self-Awareness’ disposition within an individual or the collective to articulate his/her/their ‘power and glory’ to manifest the reality of their living environment through ‘institutional coherence/structure’ and ‘Actions/Karma’. In this regard, articulation of ‘Power and Glory’ , through systems view and thinking, is vivified by ‘Systems/Time’ as harmonic convergence of ‘Heavenly Intentions’ and ‘Earthly Natural Principles’ as signified by connotations of LOGOS and NECESSITY. Thus ‘Systems/Time’ is the essence of ‘Human/Sentient Culture’ articulating the framework of ‘Self Awareness’ and ‘Metafunction/Oversoul/Overfunction’.

‘Systems/Time’ being the nexus of Being and/or Becoming, using systems view and thinking, provides the topographical parallels of ‘the two triangles’ with the potential to ‘intertwine together. Thus, through extend-able parallels of topological thinking, the two triangles intertwine to edify the ‘twist of infinity’. Thus, the ‘rational interpretative depths’ and ‘intention’ intertwine with ‘influence’ to yield ‘Destiny’; likewise with the ‘mortal will’ to yield ‘memory’. In this regard, Trizanium, within ‘limited self actualization’ yields the ‘toroid within the toroid’ of Being—whereby being with capital ‘B’ is the ‘Whole Field’. In this regard, anything which has ‘sphere of influence’ – sphere of influence ‘not equal’ to the Whole is subjected to ‘Time’.

Time is the ‘illusion’ of separation from the ‘Whole Field’-- the ‘Power/Glory/Eternity/Kingdom of God’. Using systems view and thinking, this intelligible contextual comprehension precisely marches with ‘the Temptation of Jesus, the Christ’ – as tempted by the ‘Devil’. Bread, Death and Legacy are ‘cultural markings’ of the expiry society/individual. Bread is all about ‘Space’, Death is about ‘Self conception of Mortality and finiteness of Being’ and Legacy is connotative of ‘Separative Domain of Influence’.

‘Separative Domain of Influence’, In this regard of space-time, is the viable expanse of systematic ‘Chaos’ and ‘Order’ in the intelligible universe – Using systems view and thinking, Chaos and order, is governed/controlled by ‘Christ’ or ‘Devil’ influences/archetypes. Thus, ‘living in the world of time’ is the connotation of ‘the Fall’. Life in Christ is ‘the Resurrection’ of Being; and Christ is the ‘Only Begotten son’ of the Most One—‘the Heavenly Father’. In this regard, the Holy Spirit is technically the ‘Whole Field’--the ‘Mother Aspect’ of ALL THAT IS. Thus, redemption is rising above the temptations of the Devil’--trickster of ‘polarization of mortal will’ in sentient individual .

‘Christ’ and/or ‘Devil’ influences constitute the possibility of ‘Freewill’; the Mother Aspect’ of ALL THAT IS is ‘Beyond Time’ so is the ‘Father Aspect’. Being the ‘Breath of the Divine’, the Mother Aspect, provides essence of both ‘the Good’ and ‘the Evil’ while in actual essence ‘Good and/or Evil’ are human conceptions—not Divine. Nothing can separately exist in ‘Space-time’ contexts without the Mother Aspect giving sustenance of ‘Thought Power’—all creation assume devolving nature from the Divine, through the qualified ‘negative will’; evolve back to the Divine through the ‘Positive will’-- Devil and Christ functions.

Self Awareness of any sentient being is determined by the integral disposition to align with ‘gravitating’ or ‘levitating’ powers of ‘Consciousness’ through conscience. In this regard, ‘the Cross Eye’ and ‘the Cross of Life’, through systems view and thinking, extrapolate ‘Christ’ and ‘Holy Breath’ as ‘metaphysical guidelines’ of ‘transcendental awareness’--’the informatics’ of spiraling through cubical extrapolation of harmonic convergence; which transcends timelines, and so forth, the course of their inherent activities.

Contexts of Informatics imbibed with congruent awareness of events/thought/ideo-materiality of the world, through the ‘Eye of Horus’/’Christ’/’Holy Breath’, is transposed as the ‘Template Order Reality’ and ultimately, the infamous ‘WORD’ – the WORD which is GOD and with GOD—past, present and future.

Intellect Kiswahili.jpg

Jicho la Upaji.jpg


Selah
 

Attachments

  • Intellect 1.jpg
    Intellect 1.jpg
    138.4 KB · Views: 4
  • The All Seeing Eye.jpg
    The All Seeing Eye.jpg
    212.7 KB · Views: 5
Habari

1. Wengine wanasema kuna Mungu Baba, mwana na roho mtakatifu

2. Wengine wanasema Mungu mmoja

3. Wengine nasikia wanasema ana nafsi tatu

Na je kama ana nafsi tatu kwa nini munamuabudu sana YESU kuliko huyu Mungu Baba

Lengo ni kuelewa kipi ni kipi maana naona kama wanatofautiana sana juu ya concept ya Mungu

Shukrani
huwezi kulewa dini kama sio yako utaona mazaifu tu na makosa hasa kwenye vitabu.! kwenye hilo la wakristo maandiko yao yamekaa kimafumbo mafumbo kwaio kama hutaki kufundishwa unasoma mwenyew basi utaishia kutoelewa tu.!
 
Back
Top Bottom