johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,039
John Mnyika ambaye Kisiasa ni Katibu Mkuu wa Chadema anawaalika Watu wote Wenye Mapenzi Mema kuimba Wimbo wa" Mungu Katika Nafsi Tatu" alioutunga yeye na kuimbwa na Kwaya ya Mtakatifu Kizito
Hii ni Zawadi ya Mnyika katika Siku hii ya pili ya Kwaresma
Nitaweka clip
Mfungapo Kwaresma Msiwe kama Wanafiki 😃
Hii ni Zawadi ya Mnyika katika Siku hii ya pili ya Kwaresma
Nitaweka clip
Mfungapo Kwaresma Msiwe kama Wanafiki 😃