suti za laki 3 au 4 ni zile ambazo ziko kwa sale mkuu kitu kamili laki 8 mapaka ml kathaa ati
| J.Ferrar men's suit separates in gray sharkskin keep you current, yet classic. Two-button jacket: peak lapel side vents Flat-front pants: hemmed polyester/viscose Five-button vest: polyester-lined back Available in sizes: 34, 36, 38, 40, 42, 44, 46, 48. Available in colors: Gray Shark. Available from JCPenney. | ||||||
| Shop for more Men's Suits from JCPenney |
Hivi mtu anapokushauri ukanunue ya chini ya laki tatu, inakuwa kejeli??..
Ndugu wadau, hivi ni lazima upost kwenye uzi ambao hauna taarifa iliyoombwa? Mbona mtu kauliza kulingana na matakwa na uwezo wake kama hauna taarifa si ukae kimya kwani ni lazima utoe majibu ambayo yanamkashifu mwana bodi humu? Kama uzi upo kinyume na interest zako pita tu, waachae wenye taarifa za msaada waje atoe. Ni mtazamo tu lakini, msijenge chuki.
Back to topic:
Mdau unaweza pita JD fashion Morogoro Road Mbele kidogo ya Kisutu!
Suti laki 3? Usimkufuru mungu nunua suruali ya elfu 6 na koti lake la elfu 12 na singlendi ya buku 2 hyo change ya 280k itakusaidia kwenye kodi na hela ya kula baada ya harusi.
suti za laki 3 au 4 ni zile ambazo ziko kwa sale mkuu kitu kamili laki 8 mapaka ml kathaa ati
Hahahaha harusi ni tukio muhimu Jamani. Hiyo bei ni reasonable kama anaimudu.Suti laki 3? Usimkufuru mungu nunua suruali ya elfu 6 na koti lake la elfu 12 na singlendi ya buku 2 hyo change ya 280k itakusaidia kwenye kodi na hela ya kula baada ya harusi.
tusidanganyane suti ni zilezile tofauti tu,maduka yani kariakoo suti kali mpaka laki moja,hiyo hiyo suti mlimani city laki 5.so usiogope laki nane,hiyo ndoa unafungia mbinguni,hiyo suti ni ya gold?