S Sammy1961 JF-Expert Member Dec 23, 2019 298 303 May 2, 2023 #1 Wakuu habari za majukumu. Nisiseme mengi sana, ni nani alisema/kutuambia bwana harusi anatakiwa kuvaa suti wakati wa harusi? Maana naona kila mwanaume anayeoa anavaa suti.
Wakuu habari za majukumu. Nisiseme mengi sana, ni nani alisema/kutuambia bwana harusi anatakiwa kuvaa suti wakati wa harusi? Maana naona kila mwanaume anayeoa anavaa suti.
MIXOLOGIST JF-Expert Member Mar 1, 2016 12,695 31,498 May 2, 2023 #2 Hakuna aliyesema, unaweza ukavaa kibwaya na ikawa poa,, after all ndiyo utamaduni wetu
min -me JF-Expert Member Jul 20, 2022 8,408 17,144 May 2, 2023 #3 Ni wazungu wazungu mkuu ,jiulize ni nan alisema nguo nyeusi ni ya mazishi na nyeupe ni harusi!!!! Kuna mda sisi watu weusi tumeshikiwa akili.
Ni wazungu wazungu mkuu ,jiulize ni nan alisema nguo nyeusi ni ya mazishi na nyeupe ni harusi!!!! Kuna mda sisi watu weusi tumeshikiwa akili.
Joline JF-Expert Member Sep 24, 2020 3,775 6,288 May 2, 2023 #4 Hakuna vaa utakavyo,,,ila suti ipewe heshima yake siku ya harusi.