Ni nani aliyesema bwana harusi lazima avae suti?

Sammy1961

JF-Expert Member
Dec 23, 2019
298
303
Wakuu habari za majukumu.

Nisiseme mengi sana, ni nani alisema/kutuambia bwana harusi anatakiwa kuvaa suti wakati wa harusi?

Maana naona kila mwanaume anayeoa anavaa suti.
 
Ni wazungu wazungu mkuu ,jiulize ni nan alisema nguo nyeusi ni ya mazishi na nyeupe ni harusi!!!! Kuna mda sisi watu weusi tumeshikiwa akili.
 
Hakuna vaa utakavyo,,,ila suti ipewe heshima yake siku ya harusi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom