bei iwe 300,000-400,000
Laki 3 unapata suti hata Mlimani City, waliochangia kwa kejeri ni wavaaji wa jeans za shilling elfu kumi kumi, wasikuvunje moyo.
Ukiwa tayari nipm nitakuelekeza na maduka mengine pale Posta unapata suti kwa laki 3 safi kabisa.
Sivai jeans mimi mkuu wangu.we si unavaa jinzi za laki laki
Laki 3 unapata suti hata Mlimani City, waliochangia kwa kejeri ni wavaaji wa jeans za shilling elfu kumi kumi, wasikuvunje moyo.
Ukiwa tayari nipm nitakuelekeza na maduka mengine pale Posta unapata suti kwa laki 3 safi kabisa.
Hao wote waliokukejeri hakuna hata mwenye shape ya kuvaa suti, Jeans zao ni za Kariakoo buku kumi kumi ndio maana wanaongea kejeri, tunaovaa suti tunafahamu bei zake na shilling laki 3 unapata suti ya ukweli kwenye maduka yenye majina hapa Dar.asante kwa wote mlioonyesha moyo wa kunisaidia,na kwa mlio toa kashfa badala ya msaada asanten pia,lakini kmbken dharau hazifai hamjui kwanini niliuliza hivyo,labda niwape jibu sina ufahamu na bei za suti na kwakuwa mmeonyesha kudharau kiwango cha pesa nilichotaja basi naomba mnitajie bei mnazozijua nyie na mmoja wenu kati ya aliyetoa mchango kwa kejeli ani pm ili anipeleke nkanunue hiyo suti na gharama zote za kunipeleka huko ntamlipa.