mzee huku rejareja mia saba,nataka bei ya kiwandani isizidi 4000Njoo mabibo ninayo rejareja 1000 jumla nauza 800 kwa bando lenye 100 ni 80k. Uko wapi nikutumie
isizid 400mzee huku rejareja mia saba,nataka bei ya kiwandani isizidi 4000
Hapo inabid ufungue kiwanda chako Mkuu kwa hiyo Bei yakoisizid 400
Labda uchukue nyingi Sana Mkuu hata hivyo ni mia tanoisizid 400
Hiyo bei labda ufungue kiwanda chako.mzee huku rejareja mia saba,nataka bei ya kiwandani isizidi 4000
Ninayo yale ya tani MOJA ukiyahitaji nichekiNatumai wote ni wazima wa afya, naomba mwenye kujua wapi ntapata maroba ya kuanzia debe sita kwa bei ya jumla, na kama kuna mtu anajua bei ya jumla yanauzwa shs ngapi.
Kiwanda kipo Salasala kama sijakosea nenda kaulize kama utapata kwa bei hiyo.mzee huku rejareja mia saba,nataka bei ya kiwandani isizidi 4000