Wakuu, kati ufaulu wa Written interview na Oral Interview ipi Wana consider sana wakati wa placement prioritization?

Wakuu, kati ufaulu wa Written interview na Oral Interview ipi Wana consider sana wakati wa placement prioritization?

Masai wa Town

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2017
Posts
6,544
Reaction score
23,844
Naomba kueleweshwa,

Wakuu, kati ufaulu wa Written interview na Oral Interview ipi Wana consider sana wakati wa placement prioritization?

Ni saa 00:26 usiku, Sina usingizi, nina wasiwasi mkubwa sana wakuu maana nilifanya vizuri kwenye written interview ila Sina uhakika na Oral Interview.

Oral Interview tuliofanya tarehe 10 June kada ya Social Workers na Community Development Officers. Je, tutarajie PDF lini?
 
Naomba kueleweshwa,

Wakuu, kati ufaulu wa Written interview na Oral Interview ipi Wana consider sana wakati wa placement prioritization?

Ni saa 00:26 usiku, Sina usingizi, nina wasiwasi mkubwa sana wakuu maana nilifanya vizuri kwenye written interview ila Sina uhakika na Oral Interview.

Oral Interview tuliofanya tarehe 10 June kada ya Social Workers na Community Development Officers. Je, tutarajie PDF lini?
Mkuu h ishu ya kusema wana-consider ipi ni ya kujidanganya tuu, hakikisha unafanya vzr zote mbili.
 
in Africa they ask u who send you here... dogo piga interview kama pata potea sometimes bahati hutokea ila sio zama za bi kidude.. possibilities za kupata ajira nowadays ni ndogo sana Acha mategemeo makubwa endelea na harakat zngne IF IT'S YOUR TIME U WIL BE and vice-versa is true
 
in Africa they ask u who send you here... dogo piga interview kama pata potea sometimes bahati hutokea ila sio zama za bi kidude.. possibilities za kupata ajira nowadays ni ndogo sana Acha mategemeo makubwa endelea na harakat zngne IF IT'S YOUR TIME U WIL BE and vice-versa is true
Duh 😞😞😞
 
Naomba kueleweshwa,

Wakuu, kati ufaulu wa Written interview na Oral Interview ipi Wana consider sana wakati wa placement prioritization?

Ni saa 00:26 usiku, Sina usingizi, nina wasiwasi mkubwa sana wakuu maana nilifanya vizuri kwenye written interview ila Sina uhakika na Oral Interview.

Oral Interview tuliofanya tarehe 10 June kada ya Social Workers na Community Development Officers. Je, tutarajie PDF lini?
Mfumo wa interview ulikuaje?

Maana interview nyingi wanapiga written kwanza, written ni mchujo tu wa kupunguza watu

Ukishaingia kwenye oral basi kazi ya written ishaisha na kinachozingatiwa ni oral tu


Unless kuwe na interview ya oral na written ( mixed) ndio zitazingatiwa zote
 
Mfumo wa interview ulikuaje?

Maana interview nyingi wanapiga written kwanza, written ni mchujo tu wa kupunguza watu

Ukishaingia kwenye oral basi kazi ya written ishaisha na kinachozingatiwa ni oral tu


Unless kuwe na interview ya oral na written ( mixed) ndio zitazingatiwa zote
Aisee 😓
 
Mkuu, nilichokiona kwako n kwamba hujakomaa kiakili Ndo mana unateseka kisa huu usaili wa kwanza
Hiyo ni Interview yangu ya kwanza PSRS lakini ni ya 9 tangu nimalize chuo. Na Nina offer letter 5 tangu nimalize chuo
 
Kama ni usaili unaofanywa na sekretarieti ya ajira wanaanza na written wanaofaulu written wanakwenda oral walofeli written ndio basi hawawi considered tena.
Wanaofaulu vizuri oral ndio wanapata replacement na wengine wasiopata wanawekwa.kwenye data bank ajira nyingine zikitokea za kada hiyo hata hawazitangazi wanawachukua watu kwenye data bank na kuwapigia simu kuwauliza kama watakuwa interested anapangiwa
Kuna dogo wangu alifanya usaili secretariat ya ajira hadi kwenye oral nafasi ya afisa ustawi wa jamii kwenye halmashauri akafanya hadi oral interview majibu yalipotoka hakupangiwa kazi baadae baada kama ya miezi 3 akapigiwa simu na watu wa secretariat akaambiwa kwenye sailing aliofanya wa maafisa ustawi alifanya vizuri lakini hakupangiwa kituo kwani nafasi zilikuwa chache ila aliwekwa kwenye data bank sasa kuna nafasi ya afisa ustawi zimetoka wizara ya maendeleo ya jamii kama atataka wamwandikie barua ya kwenda kuripoti dogo akakubali baadae akapigiwa kuambiwa akachukue barua akaripoti kazini.
Kwenye usaili wa secretariat ya ajira matokeo ya written yanatolewa kwa waliofaulu kwenda kwenye oral na ambao hawajafaulu kwa mujibu wa cutting point walioziweka, ila kwenye sailing wa oral hawatoi majibu zaidi ya kutaja waliofaulu na kupangiwa vituo vya kazi. Hata waliowekwa kwenye data bank huwa hawataji
 
Back
Top Bottom