1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 10,137
- 14,234
andaa tu mkuuTogwa [emoji39][emoji39][emoji39] mkuu itabidi niandae safari ya kurudi Mara.....
andaa tu mkuuTogwa [emoji39][emoji39][emoji39] mkuu itabidi niandae safari ya kurudi Mara.....
muache kujikusanya na mapanga katikati ya mji mila za kizamani. Askiari na vyombo vya usalama vinafanya nini huko? kwanini waliita kanda maalumu? yaani mtu kachapiwa mke kwa kujifanya mbabe yowe linapigwa kata mzima wanakusanyika wakurya bana mmewaambukiza tabia hiyo wajita waikizu wakerewe n.kvipi nyie mabinti wa kitanga mbona mnacheza baikoko bila chupi ndiyo ujanja sio we binti ? 911 sep11
jaribu kumzingua ndo utajua kama ni mbabe au sioWanasema Mkurya akiwa kwao huko anajifanya mababe lakini akija da Anauza kuku na mayai kipunguni.
kwahiyo wewe unashauri asipige yowe afanyeje au unataka alete matarumbeta na kigodoro!!?muache kujikusanya na mapanga katikati ya mji mila za kizamani. Askiari na vyombo vya usalama vinafanya nini huko? kwanini waliita kanda maalumu? yaani mtu kachapiwa mke kwa kujifanya mbabe yowe linapigwa kata mzima wanakusanyika wakurya bana mmewaambukiza tabia hiyo wajita waikizu wakerewe n.k
Watakuwa wanapita kimyakimya tu. Wanajifanya vidume wakati mfukoni unakuta hawana hata shilingi kumi bali wameficha visu. Kuficha mapanga kwenye nguo zao wanaona ni ujanja sana.
Narudi mkuu kwa povu hilo utakuwa umegongewa demu wako na mtu ya kanda maalum pole sana chief....
Alafu mwanamume usipotoka kwenda yowe utakomakule wana kitu cha kishamba sana kinaitwa yowe wanakusanyana na silaha za kijadi karne hii tena mjini
Pole!Sipend kweli kuona mkurya anasemwa
Wewe ndiye mshamba no1 huwezi kuleta ukabila humu maana sisi wote ni watanzania huwezi kuliona kabila moja kama ni bora kuliko jingineHeshima yenu wanaJF wakubwa kwa wadogo.
WanaJF tusaidiane kuelimisha hawa wakurya ili waachane na ushamba na tabia za kizamani ambazo watu walifanya kwa sababu ya ukosefu wa elimu na uwezo mdogo wa kuchanganua mambo.
Jambo la kwanza ni kwamba kwanini wakurya mnakeketa mabinti wenu? Huu ni ushamba mnawanyima utamu bila kujijua katika tendo la ndoa. Hivyo acheni huu ujinga.
Pili, acheni kuwapiga wanawake wenu. Mbona mkija huku Dar mnakuwa wapole sana yani ubabe wenu sijui huwa mnaweka wapi. Kwanini ubabe wenu ni kwa wanawake wenu? acheni hizo tabia kuweni Gentlemen aisee. Mwanamke anapigwa kitandani tu na mapenzi motomoto.
Mwanamke ukiwa unamchapa vizuri 6 kwa 6 lazima awe na heshima. kumpiga au kumkata mapanga haileti heshima ila tunawaona washamba wa kupindukia.
Ushamba mwingine ni ule wa kujiona nyie ndiyo vidume, wenye nguvu za kupigana. Acheni huo ushamba aisee. zama hizi hakuna anaetaka kutunisha msuli ili aonekane anajua kupigana bali kidume cha kweli ni kusaka mkwanja tu.
Acheni ushamba huo. anzeni kuwa na sifa za ki-gentleman.
Waige ushamba wa ulaya?Heshima yenu wanaJF wakubwa kwa wadogo.
WanaJF tusaidiane kuelimisha hawa wakurya ili waachane na ushamba na tabia za kizamani ambazo watu walifanya kwa sababu ya ukosefu wa elimu na uwezo mdogo wa kuchanganua mambo.
Jambo la kwanza ni kwamba kwanini wakurya mnakeketa mabinti wenu? Huu ni ushamba mnawanyima utamu bila kujijua katika tendo la ndoa. Hivyo acheni huu ujinga.
Pili, acheni kuwapiga wanawake wenu. Mbona mkija huku Dar mnakuwa wapole sana yani ubabe wenu sijui huwa mnaweka wapi. Kwanini ubabe wenu ni kwa wanawake wenu? acheni hizo tabia kuweni Gentlemen aisee. Mwanamke anapigwa kitandani tu na mapenzi motomoto.
Mwanamke ukiwa unamchapa vizuri 6 kwa 6 lazima awe na heshima. kumpiga au kumkata mapanga haileti heshima ila tunawaona washamba wa kupindukia.
Ushamba mwingine ni ule wa kujiona nyie ndiyo vidume, wenye nguvu za kupigana. Acheni huo ushamba aisee. zama hizi hakuna anaetaka kutunisha msuli ili aonekane anajua kupigana bali kidume cha kweli ni kusaka mkwanja tu.
Acheni ushamba huo. anzeni kuwa na sifa za ki-gentleman.
Heri mshamba kuliko mjinga! Mshamba hajatembea hajui mazingira ya sehemu mbali mbali. Mjinga ni yule hajaelimika, hana skills za kufundishwa labda zile alizorithi, hajui kusoma na kuandika na hajui ku communicate na watu wengine.Kuna ukweli fulani ila kuwaita washamba hujawatendea haki ungewaambia "hawajaelimika"
Karne hii mtu bado anajivunia utemi ni ukuda huo.
Utemi ulikuwa zamani ndio maana Nyerere aliwajaza jeshini.