Wakurya acheni ushamba na tabia za kizamani

Wakurya acheni ushamba na tabia za kizamani

joshydama

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2016
Posts
4,623
Reaction score
5,052
Heshima yenu wanaJF wakubwa kwa wadogo.

WanaJF tusaidiane kuelimisha hawa wakurya ili waachane na ushamba na tabia za kizamani ambazo watu walifanya kwa sababu ya ukosefu wa elimu na uwezo mdogo wa kuchanganua mambo.

Jambo la kwanza ni kwamba kwanini wakurya mnakeketa mabinti wenu? Huu ni ushamba mnawanyima utamu bila kujijua katika tendo la ndoa. Hivyo acheni huu ujinga.

Pili, acheni kuwapiga wanawake wenu. Mbona mkija huku Dar mnakuwa wapole sana yani ubabe wenu sijui huwa mnaweka wapi. Kwanini ubabe wenu ni kwa wanawake wenu? acheni hizo tabia kuweni Gentlemen aisee. Mwanamke anapigwa kitandani tu na mapenzi motomoto.

Mwanamke ukiwa unamchapa vizuri 6 kwa 6 lazima awe na heshima. kumpiga au kumkata mapanga haileti heshima ila tunawaona washamba wa kupindukia.

Ushamba mwingine ni ule wa kujiona nyie ndiyo vidume, wenye nguvu za kupigana. Acheni huo ushamba aisee. zama hizi hakuna anaetaka kutunisha msuli ili aonekane anajua kupigana bali kidume cha kweli ni kusaka mkwanja tu.

Acheni ushamba huo. anzeni kuwa na sifa za ki-gentleman.
 
Waambie maana hii dunia imebadirika sasa hivi nguvu ni pesa na sio misuli na mapanga kama zamani
Watakuwa wanapita kimyakimya tu. Wanajifanya vidume wakati mfukoni unakuta hawana hata shilingi kumi bali wameficha visu. Kuficha mapanga kwenye nguo zao wanaona ni ujanja sana.
 
Heshima yenu wanaJF wakubwa kwa wadogo.

WanaJF tusaidiane kuelimisha hawa wakurya ili waachane na ushamba na tabia za kizamani ambazo watu walifanya kwa sababu ya ukosefu wa elimu na uwezo mdogo wa kuchanganua mambo.

Jambo la kwanza ni kwamba kwanini wakurya mnakeketa mabinti wenu? Huu ni ushamba mnawanyima utamu bila kujijua katika tendo la ndoa. Hivyo acheni huu ujinga.

Pili, acheni kuwapiga wanawake wenu. Mbona mkija huku Dar mnakuwa wapole sana yani ubabe wenu sijui huwa mnaweka wapi. Kwanini ubabe wenu ni kwa wanawake wenu? acheni hizo tabia kuweni Gentlemen aisee. Mwanamke anapigwa kitandani tu na mapenzi motomoto.

Mwanamke ukiwa unamchapa vizuri 6 kwa 6 lazima awe na heshima. kumpiga au kumkata mapanga haileti heshima ila tunawaona washamba wa kupindukia.

Ushamba mwingine ni ule wa kujiona nyie ndiyo vidume, wenye nguvu za kupigana. Acheni huo ushamba aisee. zama hizi hakuna anaetaka kutunisha msuli ili aonekane anajua kupigana bali kidume cha kweli ni kusaka mkwanja tu.

Acheni ushamba huo. anzeni kuwa na sifa za ki-gentleman.
sawa wamekusikia
 
Heshima yenu wanaJF wakubwa kwa wadogo.

WanaJF tusaidiane kuelimisha hawa wakurya ili waachane na ushamba na tabia za kizamani ambazo watu walifanya kwa sababu ya ukosefu wa elimu na uwezo mdogo wa kuchanganua mambo.

Jambo la kwanza ni kwamba kwanini wakurya mnakeketa mabinti wenu? Huu ni ushamba mnawanyima utamu bila kujijua katika tendo la ndoa. Hivyo acheni huu ujinga.

Pili, acheni kuwapiga wanawake wenu. Mbona mkija huku Dar mnakuwa wapole sana yani ubabe wenu sijui huwa mnaweka wapi. Kwanini ubabe wenu ni kwa wanawake wenu? acheni hizo tabia kuweni Gentlemen aisee. Mwanamke anapigwa kitandani tu na mapenzi motomoto.

Mwanamke ukiwa unamchapa vizuri 6 kwa 6 lazima awe na heshima. kumpiga au kumkata mapanga haileti heshima ila tunawaona washamba wa kupindukia.

Ushamba mwingine ni ule wa kujiona nyie ndiyo vidume, wenye nguvu za kupigana. Acheni huo ushamba aisee. zama hizi hakuna anaetaka kutunisha msuli ili aonekane anajua kupigana bali kidume cha kweli ni kusaka mkwanja tu.

Acheni ushamba huo. anzeni kuwa na sifa za ki-gentleman.
Vipi kuhusu Wamasai mkuu
 
Heshima yenu wanaJF wakubwa kwa wadogo.

WanaJF tusaidiane kuelimisha hawa wakurya ili waachane na ushamba na tabia za kizamani ambazo watu walifanya kwa sababu ya ukosefu wa elimu na uwezo mdogo wa kuchanganua mambo.

Jambo la kwanza ni kwamba kwanini wakurya mnakeketa mabinti wenu? Huu ni ushamba mnawanyima utamu bila kujijua katika tendo la ndoa. Hivyo acheni huu ujinga.

Pili, acheni kuwapiga wanawake wenu. Mbona mkija huku Dar mnakuwa wapole sana yani ubabe wenu sijui huwa mnaweka wapi. Kwanini ubabe wenu ni kwa wanawake wenu? acheni hizo tabia kuweni Gentlemen aisee. Mwanamke anapigwa kitandani tu na mapenzi motomoto.

Mwanamke ukiwa unamchapa vizuri 6 kwa 6 lazima awe na heshima. kumpiga au kumkata mapanga haileti heshima ila tunawaona washamba wa kupindukia.

Ushamba mwingine ni ule wa kujiona nyie ndiyo vidume, wenye nguvu za kupigana. Acheni huo ushamba aisee. zama hizi hakuna anaetaka kutunisha msuli ili aonekane anajua kupigana bali kidume cha kweli ni kusaka mkwanja tu.

Acheni ushamba huo. anzeni kuwa na sifa za ki-gentleman.
nenda kitunda au nyantira ukawaambie hayo maneno,maana humu awatakuelewa,
 
kama wangekuwa hawaya fanyi hayo uliyo yasema ungewatofautishaje na kabila lingine? mila na desturi hufa kulingana na wakati, eneo, lakini si kwa shinikizo kama utakavyo. traditions die hard.
 
Heshima yenu wanaJF wakubwa kwa wadogo.

WanaJF tusaidiane kuelimisha hawa wakurya ili waachane na ushamba na tabia za kizamani ambazo watu walifanya kwa sababu ya ukosefu wa elimu na uwezo mdogo wa kuchanganua mambo.

Jambo la kwanza ni kwamba kwanini wakurya mnakeketa mabinti wenu? Huu ni ushamba mnawanyima utamu bila kujijua katika tendo la ndoa. Hivyo acheni huu ujinga.

Pili, acheni kuwapiga wanawake wenu. Mbona mkija huku Dar mnakuwa wapole sana yani ubabe wenu sijui huwa mnaweka wapi. Kwanini ubabe wenu ni kwa wanawake wenu? acheni hizo tabia kuweni Gentlemen aisee. Mwanamke anapigwa kitandani tu na mapenzi motomoto.

Mwanamke ukiwa unamchapa vizuri 6 kwa 6 lazima awe na heshima. kumpiga au kumkata mapanga haileti heshima ila tunawaona washamba wa kupindukia.

Ushamba mwingine ni ule wa kujiona nyie ndiyo vidume, wenye nguvu za kupigana. Acheni huo ushamba aisee. zama hizi hakuna anaetaka kutunisha msuli ili aonekane anajua kupigana bali kidume cha kweli ni kusaka mkwanja tu.

Acheni ushamba huo. anzeni kuwa na sifa za ki-gentleman.


Kama hutoki katika Makabila haya yafuatayo nakupa dakika 15 tu zijazo utuombe radhi vinginevyo tusilaumiane:

  1. Mhaya
  2. Mnyaturu
  3. Muha
  4. Mrangi
  5. Mnyiramba
Kazi Kwako!
 
Nadhani umesahau baadhi ya makabila yenye hizo tabia hasa ukanda huo huo wa ziwa ni vyema uka disclose , waache ushamba
 
Back
Top Bottom