Wakurya acheni ushamba na tabia za kizamani

Wakurya acheni ushamba na tabia za kizamani

Simple mind simple conclusion. Fanyeni utafiti wa mabaya Na mazuri ya mila za makabila then mtoe elimu shutuma haisaidii.
 
huko unakosema kuna matarumbeta na vigodoro hawana uhalifu? umesha wahi ona wanaume wanakusanyana na pinde na mishale? miaka hii ya utandawazi tena mjini kabisa? mbadilike mtu kaibiwa kuku mishipa yashingo inataka kupasuka kisa yowe anagonga lipsi kwa viganja vya mikono karibia azichane kisa kaibiwa kuku

badilikeniiiiiii
Hao walikusanyika mji gani huo? kwa nini? au hujui maana ya yowe? VIROBA VILIPIGWA MARUFUKU au umekula MAJANI?
 
Ndiyo wanaokulindia hii nchi yako Wewe. Acha ' uboya ' tafadhali na tena utuheshimu kweli vinginevyo bila Sisi hii nchi Idi Amin Dada angeshaichukua siku nyingi mno na si ajabu pengine sasa Wewe ungekuwa unawafulia tu Waganda ' Chupi ' zao huko Kwao.

Ifike muda Watanzania wote popote pale mlipo muwe na adabu na heshima na Watu wa Mkoa wa Mara ( Musoma ) vinginevyo mtatuudhi halafu ' tutalegeza ' na kuwaachia Warwanda na Wamalawi na hata Wakenya waingie kiurahisi na ' waipige ' Tanzania yenu hii.

Tangia lini nchi ikalindwa na Wahaya, Waha, Warangi, Wanyiramba na Wanyaturu?
Kweli Mkuu hawa jamaa sijui kwanini wanatutukana kila siku,hawajawahi kufikiria hata BABA WA TAIFA LA TANZANIA ANATOKA MARA.
 
Kumbe unaweza ukawa mshamba halafu usijijue badala yake ukaanza kuita wengine ndiyo washamba,


uchambuzi wako umejaa makosa ya kifikra (logic and reasoning) kwa sababu zifuatazo;

1. siyo wakurya tu wanaokeketa watoto wa kike hapa Tanzania (ungekua siyo mshamba ungelijua hili). Hivyo ulitakiwa kukemea makabila yote yanayofanya ukeketaji. Kwa kushindwa kwako umedhihirisha chuki binafsi tena za kizamani.


2. Suala la ukatili kwa wanawake limekuwa janga la dunia ya sasa, tena matukio ya juzi juzi yanathibitisha hili, yule mganga mfawidhi aliyeuawa na mmewe, yule mhadhiri wa chuo kikuu cha UDOM aliyeuawa na mmewe n.k hao wanaume wote walioua siyo wakurya. Hivyo basi ungekua siyo mshamba ungelitambua hili.


3. Kuhusu ubabe wa wanaume wa kikurya umeuchambua kitoto sana kana kwamba hata historia ya makabila mbalimbali hujawahi kusoma (huu ni ushamba mkubwa). Umeshindwa kufahamu kuwa wakurya ni kabila la vita tangu zamani (warrior tribe). Unapotaka wanaume wa kikurya wawe mdebwedo utasubiri sana ewe mshamba. Nakushauri utafute historia ya warrior tribes hapa Afrika Mashariki ili uelimike (tafuta historia ya wakikuyu, wamasai, wakurya, wakamba, watutsi, wanyankole n.k ndipo utajua wakurya hawawi majasiri usiku mmoja bali wana vinasaba vya kuwa hivyo walivyo.


4. Umesema wakurya wafute hela, kumbe hata hujui kuwa wanaume wa kikurya kwa miaka hii wanatafuta hela sana na wanazipata haswaa. Nenda Mwanza ulizia wakurya wanavyotafuta hela, kwa miaka hii biashara kubwa Mwanza zinaanza kumilikiwa na wakurya, wahindi, wachaga na wanyantuzu.


Angalizo: Acha kusubiria embe chini ya mkuyu! Huwezi kutegemea eti siku moja wakurya/watutsi/wakikuyu/wanyantuzu watakuwa wapole na wajinga wajinga kama wasukuma wa Mwanza.


Mwisho, Nakuhakikishia hadi kesho, ubabe/ujasiri kwa wakurya hautaisha ila tu utabadilika kulingana na mahitaji ya wakati husika.
Mkuu kwani sisi wanyantuzu siyo wasukuma acha ushamba ongelea kabila lako. Acha kutubagua sisi Wanyantuzu sisi ni wasukuma kwelikweli...!!
 
Povu la dhahiri lisilofichika,, asante Kwa kudhihirisha ujinga wako

Na yawezekana nikawa Mjinga ila aliyekuzaa na kumkojolea huyo alieyekuzaa Wote wakawa ni Wapumbavu. Umenitafuta sasa unakipata ulichokuwa ukikihitaji kwa muda mrefu kutoka Kwangu.
 
Hahahahaa. Ila wamebadilika kidogo hasa hawa wakurya wa mjini. Wale wa kule nyamongo bado wako na fita ni fita mura mpaka leo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kuna 1 alinambia huku kwetu kupigwa ni kitu chakawaida tena mpaka unabaki uchi, mie heee[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] uchi tena !!!!
 
Mkuu kwa utafiti wa juzi kati Mkoa wa Mara ni wa tatu ktk ukeketaji wa wanawake, wa kwanza ni Arusha, Singida then Mara. Na kuhusu suala la unyanyasi wa kijinsia hawapo kihivyo, ilikuwa zamani. Sioni tatizo la hao jamaa otherwise una guilty nao
 
Kumbe unaweza ukawa mshamba halafu usijijue badala yake ukaanza kuita wengine ndiyo washamba,


uchambuzi wako umejaa makosa ya kifikra (logic and reasoning) kwa sababu zifuatazo;

1. siyo wakurya tu wanaokeketa watoto wa kike hapa Tanzania (ungekua siyo mshamba ungelijua hili). Hivyo ulitakiwa kukemea makabila yote yanayofanya ukeketaji. Kwa kushindwa kwako umedhihirisha chuki binafsi tena za kizamani.


2. Suala la ukatili kwa wanawake limekuwa janga la dunia ya sasa, tena matukio ya juzi juzi yanathibitisha hili, yule mganga mfawidhi aliyeuawa na mmewe, yule mhadhiri wa chuo kikuu cha UDOM aliyeuawa na mmewe n.k hao wanaume wote walioua siyo wakurya. Hivyo basi ungekua siyo mshamba ungelitambua hili.


3. Kuhusu ubabe wa wanaume wa kikurya umeuchambua kitoto sana kana kwamba hata historia ya makabila mbalimbali hujawahi kusoma (huu ni ushamba mkubwa). Umeshindwa kufahamu kuwa wakurya ni kabila la vita tangu zamani (warrior tribe). Unapotaka wanaume wa kikurya wawe mdebwedo utasubiri sana ewe mshamba. Nakushauri utafute historia ya warrior tribes hapa Afrika Mashariki ili uelimike (tafuta historia ya wakikuyu, wamasai, wakurya, wakamba, watutsi, wanyankole n.k ndipo utajua wakurya hawawi majasiri usiku mmoja bali wana vinasaba vya kuwa hivyo walivyo.


4. Umesema wakurya wafute hela, kumbe hata hujui kuwa wanaume wa kikurya kwa miaka hii wanatafuta hela sana na wanazipata haswaa. Nenda Mwanza ulizia wakurya wanavyotafuta hela, kwa miaka hii biashara kubwa Mwanza zinaanza kumilikiwa na wakurya, wahindi, wachaga na wanyantuzu.


Angalizo: Acha kusubiria embe chini ya mkuyu! Huwezi kutegemea eti siku moja wakurya/watutsi/wakikuyu/wanyantuzu watakuwa wapole na wajinga wajinga kama wasukuma wa Mwanza.


Mwisho, Nakuhakikishia hadi kesho, ubabe/ujasiri kwa wakurya hautaisha ila tu utabadilika kulingana na mahitaji ya wakati husika.
Kujitetea hakutakusaidia kutokuonekana watu ambao hamjaelimika mkuu. Ni ukweli usiopingika kwamba "WAKURYA" hamjaelimika na mna mambo ya ajabu sana kulingana na sababu zifuatazo;

1. Kupigana wenyewe kwa wenyewe. Sababu kubwa ni kuibiana ng'ombe mfano warechoka. Hii ni ishara tosha kuwa elimu kwenu n muhimu sana. Mnaweka vita mbele badala ya kufanya mambo yanayoleta maendeleo. Ndiyo maana asilimia kubwa ya wakurya mnaishi kwenye vijumba vya nyasi na hata hamjui kama kuna kitu kinaitwa choo.

2. Pia wengi wenu elimu mnaikimbia na kubaki kufuga ng'ombe wengi ambao hawawasaidii chochote kwa sababu wanakuwa kama mapambo tu. Maana unakuta mna shida zinazowaandama mpaka kwenye damu ila hamuuzi hao ng'ombe wawasaidie. pia bado mnaishi maisha ya kizamani kwa kulala kwenye ngozi, vitanda vya kufunga kwa kamba etc.

3. Suala la kuoa wanawake wengi na kuwatelekeza. Wakurya hasa wanaume wana ubwege sana wa kuoa wanawake wengi na kuwatelekeza hao wanawake. Unakuta mwanamke ndiyo hupambana ili watoto wake wasome na wapate hata cha kuweka kinywani. Kazi ya mwanaume ni kwenda kunywa pombe za kienyeji akirudi anaomba chakula ambacho hajui kimepatikanaje.

4. Kuhusu suala la ukeketaji nyie mmekuwa watu ambao siyo waelewa kwa sababu mmekuwa mkiwakeketa watoto wengi kwa kiwembe kimoja. Pia yule ngariba huwa havai hata grovuzi ili kulinda afya za watoto wenu. Hakika tukiweza kumaliza hili suala la ukeketaji kwa kurya itakuwa rahisi sana kulimaliza kwa makabila mengine kwa sababu wakurya ni watu wenye uwezo mdogo wa kuelewa mambo na ni wagumu sana kuelewa kuwa kitu fulani hakifai.

Acheni mambo ya ajabu ambayo hayana tija katika jamii ili muweze kuwapa watoto wenu elimu iliyo bora. Kama muda wote mnawaza vita na kunoa mapanga utakumbuka suala la mwanao kupata elimu iliyo nzuri katika shule iliyo bora?
 
Back
Top Bottom