Bin Chuma75
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 990
- 1,040
Kesho ni siku ya kutoa bei mpya ya mafuta, hapa nawaza nibeti kuweka mafuta full tank kwamba bei itapanda, au nisijaze kabisa leo nisubirie kesho inaweza kushuka tena?
Kwenye mafuta waweke misingi imara ya wazi jinsi ya kuangalia bei hasa mafuta ya ndani ya Nchi kwani huwa kuna kipindi waagizaji huagiza mafuta kwa bei kubwa wanalipa kodi zote na ikija kushuka bei wakati mafuta ya awali yakiwa bado yako sokoni huathirika kwa kupata hasara kubwa, yapo mapungufu mengi kwenye mfumo wa biashara ya mafuta yafaa Serikali waunde tume maalum kuliweka sawa hilo jambo.
Hayo mafuta wayachimba chumbani kwako?Ewura waje na bei ya sh. 800 ili wafiche vizuri hayo mafuta, wamezoea kutunyonya na mabei yao huku wakitengeneza faida kubwa (windfall profit). Kuna wengine kila kukicha wanafungua vituo vipya, which means wanapata faida ya kufuru...
Harakati za kuibeba TPDC na Vituo vyake vya mafuta Zimeanza, Yale Yale ya FastjetPolisi jijini Dsm imewakamata wakurugenzi wakuu wa kampuni za mafuta za Puma, Total na Oryx waliokuwa kwenye kikao cha kibiashara.
Kadhalika polisi wanamsaka mkurugenzi mkuu wa Lake Oil ili aunganishwe na wenzake.
Imeelezwa wakurugenzi hao wanadaiwa kuvuruga mfumo wa usambazaji mafuta nchini.
Chanzo: ITV habari!
Na kuna kipindi wanaagiza mafuta mengi kwa bei ndogo na ikija kupanda inakuwa faida kwao
Tatizo siku zote ni pale tu mafuta yanaposhuka, mwaka jana mwanzoni mafuta yalipanda hadi kufika 2300 kwa dsm, na wala hakukuwa na shida ila leo yameshuka wanaanza kulialia
Je wanayo mahesabu ya kuonyesha manunuzi na majuzi yao na stock zao ?
Kwa uelewa wangu mdogo wa stock mngt kuna system inaitwa first in, first out , sasa old stock either ulionunua bei kubwa au ile ulionunua kwa bei ya chini itakuwa imetoka, sasa mambo mengine yanaenda kwenye mahesabu yako mwisho wa mwaka mauzo vs manunuzi, utapata faida au hasara, na kufanya analysis ya hasara imetokana na selling price vs cost za manunuzi na related cost au mambo mengine??
Sasa sijui unajua mambo haya au nampigia mbuzi guitar
Unavyotengeneza fs purchases zako unajitungia au kunakuwa na documents kuthibitisha manunuzi mfano kwa mafuta import duty , vat on purchases n.kKazi kubwa ya efd mashine ni kumonitor mauzo ya mfanyabishara lakini, linapokuja suala la umenunua kiasi gani hilo hajali. Tambua sheria ya kodi mbogo huangalia umeuza nn
Mkuu mm nipo kilosa, shida ya huku ni moja shell mafuta wanapima ya 5000 tu, kwa wenye magari sijui lakini Bodaboda na wateja wengine wa mafuta hauekewi mafuta zaidi ya hiyo hela, na hilo tatizo halikuwepo kabla ya mafuta kushuka bei so that means kuna tatizo LipoMkuu price ya mafuta inategemea na vitu vingi sana. Bei ya shipping, gharama ya kupakua na kuhifadhi, gharama ya internal distribution, bado kodi kibao, wafanyakazi na gharama za kulipia petrol stations. Hivyo sikuona haja ya kutumia bunduki kuwatisha. Serikali inanguvu sana
Ingewaita wakae waongee. Hata wao sio wendawazimu, wanasababu zao. Naomba sana msitupeleke Mtwara na Lindi na Mtibwa na Kilombero plus TPC ( korosho na sukari). Piga ua serikali haiwezi kusambaza mafuta hata mkoa mzima tu wa Dar. Hata hapo Dodoma japo ni chimbo lao hawataweza kufika Dumila. Wataishia hapo Bungeni tu. Mark my words.
Na bado.Watavurugwa vurugwa ili yenyewe ifanye kazi zake vizuri.
Wanadhani mafuta ni makinikiaMkuu mm nipo kilosa, shida ya huku ni moja shell mafuta wanapima ya 5000 tu, kwa wenye magari sijui lakini Bodaboda na wateja wengine wa mafuta hauekewi mafuta zaidi ya hiyo hela, na hilo tatizo halikuwepo kabla ya mafuta kushuka bei so that means kuna tatizo Lipo
Microsoft Corp v Commission T-201/04 is a case brought by the European Commission of the European Union against Microsoft for abuse of its dominant position in the market. WikipediaPolisi jijini Dsm imewakamata wakurugenzi wakuu wa kampuni za mafuta za Puma, Total na Oryx waliokuwa kwenye kikao cha kibiashara.
Kadhalika polisi wanamsaka mkurugenzi mkuu wa Lake Oil ili aunganishwe na wenzake.
Imeelezwa wakurugenzi hao wanadaiwa kuvuruga mfumo wa usambazaji mafuta nchini.
Chanzo: ITV habari!
Hahahah tunakoenda serikali iko njiani kufanya biashara ya mafuta...mafuta ni strategic way ya kuleta economic sabotage (kuhujumu uchumi).Price za mafuta ni kama zipo zigzag sahivi.Kama hao wakurugenzi ndo wanaleta mkanganyiko huo watiwe hatiani.
Laana gani Mkuu...biashara zote ni halali kama haimdhuru mtubiashara ya mafuta ina laana, serikali iachane nayo.
Utafurahi kiasi gani pale wewe unaponunua kitu chako kwa bei ya 2000 kwa ajili ya biashara then anatokea mtu anakuamuru uuze kwa 500?Hawa jamaa bei ya mazutu ikipanda akuna tatizo,ila ikishuka ni shida.kuwakamua walaji ndo fahari kwao.
Afu usiku ukiingia unapigiza kichwa chini huku ukisema Mungu nisaidie. Hakuna Mungu wa namna hiiAcha ile kwao.
Una uhakika na ulichokiandika!?