NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,286
- 24,003
Sio kweli,soko la dunia mafuta yameshuka sana.Utafurahi kiasi gani pale wewe unaponunua kitu chako kwa bei ya 2000 kwa ajili ya biashara then anatokea mtu anakuamuru uuze kwa 500?
lakini mbona mafuta yakipanda soko la dunia,wamiliki wa hizi petrol station na wao wanapandisha fasta hata kama anastock ya mafuta aliyonunua mwezi mmoja nyuma?