Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
Tumeona Mhe. Waziri akionyeshwa temporary houses zisizoendana na Bei Lakini pia tumeona mateso ya machinga Mwanza. Handeni na Mwanza Jiji wameonyesha Haina ya viongozi tulionao wasiowajibika Hadi wawajibishwe.
Je kuwatumbua ni adhabu tosha kwao?
Je kuwatumbua ni adhabu tosha kwao?