Ilikuwa mwaka sabini na hiyo mzee profesa.?Dah!!!Nakumbuka wakati niko kidato kuna demu nilimwelewa nikafanya mchakato wa kumvuta aje tukaenae kwenye benchi moja ili nitengeneze mazingira ya kuimbisha nikashangaa rafiki yangu ananifata ananiambia eti kachanganyikiwa amempa yule binti ujauzito na kweli baada ya siku chache ikajulikana yule demu anamimba nilikereka kinoma.
Ticha wangu wa Biology na Chemistry popote mlipo nawakumbukaaa...
eheheh halaf sasa hivi hata hakipo etKumbe ulikuwa na kisogo???![]()
![]()
Mwanaume mzima unashikiwa maisha na dada zako!!! Be a man and go ahead marrying her if you really love herMy beloved Bellah nimemisi Sana zile moment tulizokuwa pamoja sekondari. Ukweli nilikupenda sana ila sikuwa na uhakika juu ya hisia zangu kwako. Labda kwa vile tulikuwa na hard time ya kujiandaa na pepa za mwisho O-Level. Nackia wajanja wameshakuwahi na kukuzalisha, nowdays life imekuwa ngumu kwako. Nataman nikupe nafasi tena kwenye maisha yangu ila tatzo huyo mtoto, mawifi zako home wanoko kweli, hawatakubali kuniona nawe.
Hehehe kuna haja ya kuleta vyeti humu ndani ili tujue aliesoma p/maths na kufanya vyema ni nani nje ya kukalili speling'. But asante kwa kunisahihisha mkuu though haiwezi define kama nilifeli p/mathsWewe kweli kilaza wa math!! Hakunaga "ku-drive" kwenye hesabu, kuna ku-derive" tu![]()
![]()
![]()
![]()
Too late Kaka. Now I have a lot of options.Mwanaume mzima unashikiwa maisha na dada zako!!! Be a man and go ahead marrying her if you really love her
AmeenHe was a very good man. . Apumzike kwa amani jamani
Nakumbuka class kwetu kulikuwa na binti nae alikuwa na kichogo bac tulikuwa tunamtaniaje, alikuwa kama dada yetu coz alituzidi umri nae alikuwa akitukamata tunakula kifinyo balaa ila akikuachia hapo unamshika tena kichogo then unatokaeheheh halaf sasa hivi hata hakipo et





ya kufa mtuWell said,mwanaume mzima unawafikiria dada zako ktk kufanya maamuzi?!...Mwanaume mzima unashikiwa maisha na dada zako!!! Be a man and go ahead marrying her if you really love her
tafadhari mi sikujuiWapi Wile Clement, da nilikupenda sana.!

mimi mwenyew nilipoteza bahat za madada km watatu hivikwa kujifany napeeeeenda kusom km vile mim nd wa kwanza kusoma hapa dunian,,,, lakin namshukru Mungu kwa yote na pia sijutiii kwa kutokujiingiz kweny mamb hayo……!!Hio bahati kwakweli hata mm nilizichezeaga,nakumbuka nilipendwaga na mabinti kama 5 halafu na mm nikawa najidai mgumu kumbe nilikuwa napoteza bahati
Ila watanzania jamani yaani mmeamua kuanzisha uzii huu kuvunja ndoa za watu. Hao akina mariam, cjui Irene ni majina harisi ya watu sasa ukiunganisha na wivu huu wa wanandoa aiseee hamuwatakii mema watu. Yaani mtu anaweza kuwa yuko na wife jina lake Irene afu ajamkuta bikra akadhani ndo anazungumziwa hapa. Jaribuni kutumia vifupisho jamani watu wataachana kimchezo hivi
kama umejua vile, hapa nawaza tuu asijekua Irine wangu, lakini bk nilimtoa mwenyewe