Wakumbukwe wapenzi wa sekondari

Wakumbukwe wapenzi wa sekondari

Amasa popote ulipo nakukumbuka sana, nakupenda sana hata wewe hilo unalijua. Nilipendwa na wasichana wengi enzi zile lakini hawakuwa na mapenzi ya kweli labda walikuwa wanataka kuwa na Mimi ili wajipatie umaarufu kwa kutembea na H.boy na hiki ndicho kilifanya wakuchukie sana.
Lakini siku zote tulipendana sana na kweli tulishinda vishawishi.

Siwezi kuwalaumu wazazi wako kwa kukuhamisha na kukupeleka mbali na Mimi kwasababu labda ilikuwa ni njia ya wewe kupata mafanikio zaidi.
Machozi yako siku ulipokuwa unaondoka bado yananiumiza hadi leo nikiyakumbuka.
Naweza kuwa na mwanamke yoyote lakini wewe ni wapekee kabisa moyoni mwangu.

Ulipo hamishwa kwenda UK nilibaki mpweke sana lakini namshukuru Mungu nilimaliza na kwa sasa nina maisha yangu mazuri tu.

Mungu akutangulie huko uliko ila penzi la kweli kamwe halifutiki, naamini ipo siku tutaonana.
Mimi ni yule yule D wako.
 
mwalimu wangu wa hesabu madam jane kokote ulipo Mungu akujaalie...Rehema asante sana kwa kunipa uzoefu wa denda..julieti nakumbuka ulivyoniita kwa sauti legevu handsome boy..God bless you kwa kunipenda sana..bado handsome boy nakumiss sana kila nikikumbuka enzi hizo...
 
Ila watanzania jamani yaani mmeamua kuanzisha uzii huu kuvunja ndoa za watu. Hao akina mariam, cjui Irene ni majina harisi ya watu sasa ukiunganisha na wivu huu wa wanandoa aiseee hamuwatakii mema watu. Yaani mtu anaweza kuwa yuko na wife jina lake Irene afu ajamkuta bikra akadhani ndo anazungumziwa hapa. Jaribuni kutumia vifupisho jamani watu wataachana kimchezo hivi
 
popote ulipo Immanuel jamani nimekukumbuka sana maskini hela zako zote ulizokuwa unapewa kwenu na yale ma biskuti ulikua unachuka dukani kwenu ulikuwa unamalizia kwangu..nakukumbuka zaidi sikui ile kwneu pale wakati unaniomba papuchi ulikua unataka kuzimia yani hahahah mwe. najua upo humu .. kile kisogo ulichokua unanicheka na kuniambia umenipendea kisogo nakuambia kwamba hakipo tena sasa hivi😛😛😛😛
 
Wachumba zangu G na M popote mlipo mnakumbukwa sana na J

M sikusahau kwa zile chips kila break time(mapumziko) na mapindi yako yale ya Geography na History

G sikusahau kwa ile biology uliyokuwa unanifundisha(natumaini na wewe unanikumbuka kwa ule ukali wangu wa maths)
are u still doing math so we can talk calculus thing.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom