the viking
JF-Expert Member
- Apr 23, 2017
- 1,170
- 1,373
kibaya ni kutumia majina yote mawili ila moja hakuna tatizo...Ila watanzania jamani yaani mmeamua kuanzisha uzii huu kuvunja ndoa za watu. Hao akina mariam, cjui Irene ni majina harisi ya watu sasa ukiunganisha na wivu huu wa wanandoa aiseee hamuwatakii mema watu. Yaani mtu anaweza kuwa yuko na wife jina lake Irene afu ajamkuta bikra akadhani ndo anazungumziwa hapa. Jaribuni kutumia vifupisho jamani watu wataachana kimchezo hivi
