Wakumbukwe wapenzi wa sekondari

Wakumbukwe wapenzi wa sekondari

Ila watanzania jamani yaani mmeamua kuanzisha uzii huu kuvunja ndoa za watu. Hao akina mariam, cjui Irene ni majina harisi ya watu sasa ukiunganisha na wivu huu wa wanandoa aiseee hamuwatakii mema watu. Yaani mtu anaweza kuwa yuko na wife jina lake Irene afu ajamkuta bikra akadhani ndo anazungumziwa hapa. Jaribuni kutumia vifupisho jamani watu wataachana kimchezo hivi
kibaya ni kutumia majina yote mawili ila moja hakuna tatizo...
 
Wachumba zangu G na M popote mlipo mnakumbukwa sana na J

M sikusahau kwa zile chips kila break time(mapumziko) na mapindi yako yale ya Geography na History

G sikusahau kwa ile biology uliyokuwa unanifundisha(natumaini na wewe unanikumbuka kwa ule ukali wangu wa maths)
Lakini pamoja na ukali wote BAM ukapata F
 
Amasa popote ulipo nakukumbuka sana, nakupenda sana hata wewe hilo unalijua. Nilipendwa na wasichana wengi enzi zile lakini hawakuwa na mapenzi ya kweli labda walikuwa wanataka kuwa na Mimi ili wajipatie umaarufu kwa kutembea na H.boy na hiki ndicho kilifanya wakuchukie sana.
Lakini siku zote tulipendana sana na kweli tulishinda vishawishi.

Siwezi kuwalaumu wazazi wako kwa kukuhamisha na kukupeleka mbali na Mimi kwasababu labda ilikuwa ni njia ya wewe kupata mafanikio zaidi.
Machozi yako siku ulipokuwa unaondoka bado yananiumiza hadi leo nikiyakumbuka.
Naweza kuwa na mwanamke yoyote lakini wewe ni wapekee kabisa moyoni mwangu.

Ulipo hamishwa kwenda UK nilibaki mpweke sana lakini namshukuru Mungu nilimaliza na kwa sasa nina maisha yangu mazuri tu.

Mungu akutangulie huko uliko ila penzi la kweli kamwe halifutiki, naamini ipo siku tutaonana.
Mimi ni yule yule D wako.
Nado unamsubiri tu hujaoa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom