Wakumbukwe wapenzi wa sekondari

Wakumbukwe wapenzi wa sekondari

Kweli utoto raha. H nakukumbuka, ulivyonisaliti kwa rafiki yangu Ludo. Mkanifanya zoba lakini furaha ni pale mlipofumwa live mkatangazwa skuli yote. Sijui mliishia wapi kwani hata moku hamkuiona. Dah!
 
nilikuwa good boy nilipendwa ila sijui kumaliza ....so imekuwa story...ila sasa am a bad romantic man...akiingia kingi mtu hachomoki...inakuwa ni wivu juu ya wivu kuhusu anayekuwa na mi kama yule sipo nae...
 
Rebeka kokote ulipo, nakumbuka primary uliniandikia barua kuwa unanipenda ukampa mdogo wangu aniletee, nilipoisoma nikamaindi balaa nikakutafuta nikakupa vitasa vya nguvu ila hukukoma nipenda, ulinipenda sana sema udomo zege bana dah, ukahama shule ila siku hizi wote tunafamilia sasa.
 


Mimi katika masuala ya kumeza na kujielezea nilikuwa m-bovu sana
Ni bora nisolve swali la calculation kuliko kushuka essay kuhusu kitu fulani
Ulikuwa/uko vizuri maana sisi wenzio tulikuwa tukiona kipindi cha maths kinakaribia jasho linaanza kutoka kozi hata ku-drive quadratic equation ni tatizo, asante sana aliegundua course ya sheria
 
popote ulipo Immanuel jamani nimekukumbuka sana maskini hela zako zote ulizokuwa unapewa kwenu na yale ma biskuti ulikua unachuka dukani kwenu ulikuwa unamalizia kwangu..nakukumbuka zaidi sikui ile kwneu pale wakati unaniomba papuchi ulikua unataka kuzimia yani hahahah mwe. najua upo humu .. kile kisogo ulichokua unanicheka na kuniambia umenipendea kisogo nakuambia kwamba hakipo tena sasa hivi😛😛😛😛
Kumbe ulikuwa na kisogo???
 
Ulikuwa/uko vizuri maana sisi wenzio tulikuwa tukiona kipindi cha maths kinakaribia jasho linaanza kutoka kozi hata ku-drive quadratic equation ni tatizo, asante sana aliegundua course ya sheria
Wewe kweli kilaza wa math!! Hakunaga "ku-drive" kwenye hesabu, kuna ku-derive" tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom