Wakumbukwe wapenzi wa sekondari

Wakumbukwe wapenzi wa sekondari

popote ulipo Immanuel jamani nimekukumbuka sana maskini hela zako zote ulizokuwa unapewa kwenu na yale ma biskuti ulikua unachuka dukani kwenu ulikuwa unamalizia kwangu..nakukumbuka zaidi sikui ile kwneu pale wakati unaniomba papuchi ulikua unataka kuzimia yani hahahah mwe. najua upo humu .. kile kisogo ulichokua unanicheka na kuniambia umenipendea kisogo nakuambia kwamba hakipo tena sasa hivi😛😛😛😛
 
Gema baby wangu nakukumbuka sana japo sasa hivi kila mtu ana maisha yake na familia yake ,hope hata wewe unanikumbuka pia.
 
Nawakumbuka binamu zangu I na G kwa kunifanya niwe mkali wa three sam tangu nikiwa std5 hadi 7,
R.I.P kwao wote
 
Dah, primary sikuwahi kumtamani yoyote yule. Secondary nilikuwa natamani ila ndo nilikuwa domo zege plus kusoma boys tupu form 1-6 ilininyima acces ya kutosha na wasichana. Chuo sasa ilikuwa uhuru wa manyani, Almanusura mtu adisco. Thanks god nilivuka salama.
 
Nilikuwa domo zege ,nilikuwa soma soma ,nilikuwa mkali wa masomo yote class ...wadada walikuwa wanajileta kwa kisingizio cha niwafundishe,sikuwahi kuwa na demu ...nilikuwa boya sana kwakweli najutia fursa nilizopoteza za kukataa papuchi za wazi wazi. Lakini nimejirekebisha siku hizi ukijileta utakwenda kusimulia kilichokukuta.
 
Wachumba zangu G na M popote mlipo mnakumbukwa sana na J

M sikusahau kwa zile chips kila break time(mapumziko) na mapindi yako yale ya Geography na History

G sikusahau kwa ile biology uliyokuwa unanifundisha(natumaini na wewe unanikumbuka kwa ule ukali wangu wa maths)
Nyooo
 
popote ulipo Immanuel jamani nimekukumbuka sana maskini hela zako zote ulizokuwa unapewa kwenu na yale ma biskuti ulikua unachuka dukani kwenu ulikuwa unamalizia kwangu..nakukumbuka zaidi sikui ile kwneu pale wakati unaniomba papuchi ulikua unataka kuzimia yani hahahah mwe. najua upo humu .. kile kisogo ulichokua unanicheka na kuniambia umenipendea kisogo nakuambia kwamba hakipo tena sasa hivi😛😛😛😛
Kwahyo siku hiyo ulimpa Papuchi
 
Nakumbuka class kwetu kulikuwa na binti nae alikuwa na kichogo bac tulikuwa tunamtaniaje, alikuwa kama dada yetu coz alituzidi umri nae alikuwa akitukamata tunakula kifinyo balaa ila akikuachia hapo unamshika tena kichogo then unatoka ya kufa mtu
hahahahah..pumbavu sana nyie yan hadi mnamshika chogo yake. ila watu wa hivi tunakuga na akili sana😛😛😛😛
 
Wachumba zangu G na M popote mlipo mnakumbukwa sana na J

M sikusahau kwa zile chips kila break time(mapumziko) na mapindi yako yale ya Geography na History

G sikusahau kwa ile biology uliyokuwa unanifundisha(natumaini na wewe unanikumbuka kwa ule ukali wangu wa maths)
Nakukumbuka
 
Wapenzi wangu popote pale mlipo

SUZANA HENRY

RACHAEL MASANJA

EUNICE DAUD

NAOMI PAUL

RHODA DANIEL

Huwaga nawakumbuka sana wapendwa wangu na siwezi kuwasahau hata siku na moja.
 
Wapenzi wangu popote pale mlipo

SUZANA HENRY

RACHAEL MASANJA

EUNICE DAUD

NAOMI PAUL

RHODA DANIEL

Huwaga nawakumbuka sana wapendwa wangu na siwezi kuwasahau hata siku na moja.
Pole kwa kuandika full pia official names.
 
Daah,nakukumbuka sana Pili,tulitroka shule tukaenda lala Lodge,baada ya kujulikana nikahamishwa shule,wakanihamishia Highlands (Iringa),nilikasirika sana,lakini ilikuwa nafasi nyingine ya kukutana na mrembo Neema N,hakika huyu alikuwa ni moto wa kuotea mbali anapokuwa kwa bed,nilichanganywa na penzi lake mpaka basi,nachoshukuru sikuyumba academically,Baadaye kidogo nikapendwa na Martha L,hakika huyu alikuwa mzuri ila sikumfaidi kwa sababu kwao ilikuwa geti kali kweli kweli.
Kali ilikuwa nikiwa advance,enzi hizo Minaki nikakutana na mtoto mwenye mchanganyiko wa msukuma na Mchaga,yeye akiwa Iringa girls (tulikutana Iringa girls siku ya mahafali),ile kumuona tuna nilijikuta natetemeka kama nimepigwa short ya umeme,ajabu ni kwamba yeye pia alikuwa ameduwaa akiniangalia mm,baada ya muda tulijikuta tumekuwa wapenzi tulioshibana,nlikupenda sana Bertha,kati ya woooote hakika nilikupenda.
Sisahau siku tumekutana Dar kwa ajili ya kusoma TUTION,siku moja tukaghaili kwenda tution tulishinda gheto,hostels za Ubungo nyuma ya NBC,kuanzia asubuhi mpaka jioni,siisahau kamwe siku hiyo,(sijui mupo humu!!!?)
Ni mimi C,nawamiss sana wapenzi wangu,lakini BERTHA,WEWE NI MWANAMKE BORA SANAAA!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom