Wakristo wenzangu, kwahiyo pamoja na kuwa na elimu zetu Bado tunaamini Nabii Yona alimezwa na nyangumi na akatapikwa akiwa Yu hai?

Wakristo wenzangu, kwahiyo pamoja na kuwa na elimu zetu Bado tunaamini Nabii Yona alimezwa na nyangumi na akatapikwa akiwa Yu hai?

Serikali inapata faida gani?
Kwa ajili ya kujifunza, Religions plays a big roles kwa serikali kwa sababu inahimiza watu watende mema na waache maovu, la sivyo ungesikia watu na viongozi wa serikali wanapigwa mishale kila siku. Dini zinafanya na zinahimiza watu kutenda mema na kuacha maovu, sasa hapo utakuta hakuna crimes, utakuta makanisa na misikiti yanasaidia kulisha na kuvisha wenye shida, kitu ambacho kingefanywa na serikali....Huoni faida hapo? Dini zinahimiza watu kusaidiana na kupiga vita umaskini......hapo serikali haijafaidika? Dini zinaelimisha kupitia shule kufuta ujinga.....hizi zisingefanywa na dini, ingekuwa kazi ya serikali.....bado serikali haijafaidika?? Vipi matibabu kwenye hospitali za dini? Hapo dini hazijasaidia serikali? Kuna hospitali nyingi za dini ziligeuzwa za wilaya au kwa mashirikiano na serikali, hapo bado hujaona serikali ikipata faida?
 
Serikali inapata faida gani?
Mpaka Leo haujui !? Anaposimama mwamposa Kwa influence aliyonayo akimuunga mkono Samia katika uchaguzi then akawaambia kondoo wake Samia ni mpango wa mungu wa Israel kuja kuzitawala Tanzania tumpigie kura Samia , Usipo mpigia Samia kura umekwenda kinyume na mpango wa mungu Unajua Nini kitakacho fuata !??


Ndio maana ccm inapofika katika uchaguzi lazima Watembee na viongozi wote wa imani za dini cause wanajua wata gain their followers,

Apart from that Kwa wanasiasa ni rahisi sana kuligawa vipande vipande Taifa lenye waumini wengi wa dini kwa kuwa devide Kwa kutumia itikadi zao na ndio michezo inayo fanywa na USA Kwa washia na wasunni , na ndio mchezo uliofanywa na jakaya kwenye uchaguzi wa mwaka 2011 baada ya kuona kuwa wakatoliki wengi wapo against nae akatengeneza concipiracy Kwa waislam kwamba atawapatia mahakama ya kadhi atakapo ingia madarakani na waislam wengi walimuunga mkono Kwa kumchagua wakiamini Kwamba watapatiwa mahakama ya kadhi ,

Mfano mwingi hai nakupa Baada ya uchaguzi wa mwaka Jana kuisha na samuya alipoona Kuna kundi kubwa la wacatholic ambalo lipo against nae alichokifanya ni kuwatumia bakwata kuanzisha vitisho vya Uvunjifu wa amani Kwa kupitia mgongo wa dini ,

Ghafla tukaanza kuona matamko ya mashekhe mbali mbali walifanya press na kuanza kuwalaumu wakatoliki , unajua lengo lilikuwa ni Nini !?

Samuya alikuwa anafanya balance of power ili wakatoliki warudi nyuma waache kumfuata fuata cause anajua kwamba waislam na wakristo katika Taifa Hili idadi Yao haijapishana sana so ukisha wachonganisha watu hao ni lazima usalama hautokuwepo katika Taifa na in directly way wakatoliki watalaumiwa Kwa kusababisha Uvunjifu wa amani nchini Kwa kuanzisha matabaka ya Imani

Team ya samuya ilikuwa inapush ajenda kamba samuya hapendi kisa ni muumini wa dini ya uislam , unajua Nini Nini kingefuata baada ya hapo ni wakristo na waislam wapumbavu kuanza kuchinjana kanisa katoliki Moja Kwa Moja lingeingia kwenye lawama nzito ya kusababisha crusade nchini

So baada ya zile press za waislam pandikizi Toka serikalini huoni kama kanisa catholic lilirudi nyuma kidogo !? Don't you see !?

Wengi wenu mnaonekana siasa ya Dunia hamja ifahamu vyema 🤣🤣😄

Dini ni siasa za kale zilizoundwa Kwa lengo la kumtawala binaadamu
 
Petro ndo amesema na sio Mungu. Yeyeni binadamu kama sisi kwanini matamko.yake yawe ni sheria?
Hapa sasa unahoji nje ya misingi ya imani, unapingana na imani kwamba mwanadamu alinena yaliyotoka kwa MUNGU. Petro 1:20-21.

Ukishatoka nje ya hiyo misingi hakuna mjadala wa kiimani tena hapo, kuna logic zako dhidi ya imani, na logic zako hizo katika macho ya waamini unakuwa ni wa upande wa pili yaani Shetani sababu huamini kama alichonena Petro kimetoka kwa MUNGU.
 
Kwa ajili ya kujifunza, Religions plays a big roles kwa serikali kwa sababu inahimiza watu watende mema na waache maovu, la sivyo ungesikia watu na viongozi wa serikali wanapigwa mishale kila siku. Dini zinafanya na zinahimiza watu kutenda mema na kuacha maovu, sasa hapo utakuta hakuna crimes, utakuta makanisa na misikiti yanasaidia kulisha na kuvisha wenye shida, kitu ambacho kingefanywa na serikali....Huoni faida hapo? Dini zinahimiza watu kusaidiana na kupiga vita umaskini......hapo serikali haijafaidika? Dini zinaelimisha kupitia shule kufuta ujinga.....hizi zisingefanywa na dini, ingekuwa kazi ya serikali.....bado serikali haijafaidika?? Vipi matibabu kwenye hospitali za dini? Hapo dini hazijasaidia serikali? Kuna hospitali nyingi za dini ziligeuzwa za wilaya au kwa mashirikiano na serikali, hapo bado hujaona serikali ikipata faida?
Mengine mengi umeshaelezwa hapa

Usipoelewa Tena kalagabaho 😄😄 Seran
 
Kwa ajili ya kujifunza, Religions plays a big roles kwa serikali kwa sababu inahimiza watu watende mema na waache maovu, la sivyo ungesikia watu na viongozi wa serikali wanapigwa mishale kila siku. Dini zinafanya na zinahimiza watu kutenda mema na kuacha maovu, sasa hapo utakuta hakuna crimes, utakuta makanisa na misikiti yanasaidia kulisha na kuvisha wenye shida, kitu ambacho kingefanywa na serikali....Huoni faida hapo? Dini zinahimiza watu kusaidiana na kupiga vita umaskini......hapo serikali haijafaidika? Dini zinaelimisha kupitia shule kufuta ujinga.....hizi zisingefanywa na dini, ingekuwa kazi ya serikali.....bado serikali haijafaidika?? Vipi matibabu kwenye hospitali za dini? Hapo dini hazijasaidia serikali? Kuna hospitali nyingi za dini ziligeuzwa za wilaya au kwa mashirikiano na serikali, hapo bado hujaona serikali ikipata faida?
Serikali ni ovu sana🥺
 
Mkuu, Katika ukristo, kupinga biblia ni kumpinga MUNGU maana imani inaelekeza kwamba yale maneno si ya mtu binafsi wala mapenzi ya mwanadamu.

2 Petro 1:20–21: “Kwanza mjuwe neno hili, ya kwamba hakuna unabii wa maandiko upatikanayo kwa tafsiri ya mtu binafsi. Maana unabii haukuletwa popote kwa mapenzi ya mwanadamu, bali wanadamu walinena yaliyotoka kwa Mungu, wakiongozwa na Roho Mtakatifu.”

Halafu kuna adhabu iwapo utapunguza au kuongeza.

Ufunuo 22:18–19: “Kama mtu akiongeza neno lolote… Mungu atamwongezea mapigo yaliyoandikwa katika kitabu hiki. Na mtu akipunguza… Mungu atampunguza sehemu yake katika mti wa uzima.”

Katika Uislamu yale maandiko hayapaswi kutiliwa mashaka sana sana ni mwongozo.

Surah Al-Baqarah 2:2: “Hii ni Kitabu ambacho hakina shaka ndani yake, ni mwongozo kwa wachamungu.”

Kama ilivyo katika ukristo kupinga kilichoandikwa ni kumpinga MUNGU maana inaaminiwa kwamba iliteremshwa kutoka kwake.

Surah Fussilat 41:42: “Batili haiwezi kuifikia, mbele yake wala nyuma yake; ni kitabu kilichoteremshwa kutoka kwa Mwenye hekima, Msifiwa.”

Msingi wa dini hizi mbili ni imani, ukianza kuhoji nje ya imani unafuta uhalali wake na hiyo ni vita kubwa sana kwa wanaoamini. Unakuwa ndo Shetani mwenyewe sasa maana katika imani Shetani ndiye anayehoji uhalali wa alichosema MUNGU.
Suala la kuhoji ni la msingi, watu wanahoji wanataka kujua na wana hamu ya kujua. Kuna vitu vingine havieleweki sana. Kwa mfano kutoka Mlima wa Sinai hadi Caanan ni kilomita 350, wengine wanahoji....inakuwaje Israelites walichukua miaka 40 kutembea hadi kufika Caanan??? Hilo ni suala la msingi...watu wana haki ya kuuliza na kupata majibu sahihi.
 
Suala la kuhoji ni la msingi, watu wanahoji wanataka kujua na wana hamu ya kujua. Kuna vitu vingine havieleweki sana. Kwa mfano kutoka Mlima wa Sinai hadi Caanan ni kilomita 350, wengine wanahoji....inakuwaje Israelites walichukua miaka 40 kutembea hadi kufika Caanan??? Hilo ni suala la msingi...watu wana haki ya kuuliza na kupata majibu sahihi.
Na mungu kama kweli ni mjuzi wa yote anashindwa vipi kuwapatia watu majibu badala yake anaanza kuwakataza wasimhoji !?

Au Kuna maswali ambayo majibu yake Hana ,!? Kama Hana huo umungu wake na ujuzi wake wa yote utakuwa una maana Gani !?

Tuta kuwa tunakosea endapo tukisema kwamba huyo mungu ji wamchongo!? 😁🤣
 
Unahoji sana tu as long as huko kuhoji ni kwa misingi ya imani husika. Ukitoka nje ya hiyo misingi inamaana unahoji uhalali wa MUNGU na hapo katika macho na masikio ya waamini wewe ni Shetani au chawa wake.
So huoni kuwa mmewekewa defense mechanism ya kutokohoji kwasababu ambaye anahoji sana yupo karibu ya kuujua ukweli

So ilikuwa dhibiti watu wasiweze kuujua ukweli ndio wakaja na hayo maneno kwamba hauruhusiwi kuhoji sana ukihoji sana una kufuru!!!

Wewe ukiwa kama mwalimu darasani una furahishwa na wanafunzi Gani wanao hoji maswali katika SoMo ulilotoa kwaajili ya lengo la wao kujifunza au Kwa wanao kaa kimya ilhali Hauna uhakika kwamba wameelewa ulicho wafundisha au hawajaelewa
 
So huoni kuwa mmewekewa defense mechanism ya kutokohoji kwasababu ambaye anahoji sana yupo karibu ya kuujua ukweli

So ilikuwa dhibiti watu wasiweze kuujua ukweli ndio wakaja na hayo maneno kwamba hauruhusiwi kuhoji sana ukihoji sana una kufutu!!!

Wewe ukiwa kama mwalimu darasani una furahishwa na wanafunzi Gani wanao hoji maswali katika SoMo ulilotoa kwaajili ya lengo la wao kujifunza au Kwa wanao kaa kimya ilhali Hauna uhakika kwamba wameelewa ulicho wafundisha au hawajaelewa
Havina uhusiano wewe unapaswa kuamini, maswali yatajibiwa ukifika huko! Unapungukiwa nini?
 
Hapa sasa unahoji nje ya misingi ya imani, unapingana na imani kwamba mwanadamu alinena yaliyotoka kwa MUNGU. Petro 1:20-21.

Ukishatoka nje ya hiyo misingi hakuna mjadala wa kiimani tena hapo, kuna logic zako dhidi ya imani, na logic zako hizo katika macho ya waamini unakuwa ni wa upande wa pili yaani Shetani sababu huamini kama alichonena Petro kimetoka kwa MUNGU.
Kwa mawazo haya ndio maana wapinga dini wanazidi kuongezeka kila siku. Yaani tuamini tu kama mazombi kwasababu ni imani, dah inasikitisha sana.. binafsi nimekataa na kama ni kuchomwa moto nikachomwe nipo tayari.
 
Kama unabisha hilo,Kwa nini unaamini viumbe wakijamiiana wanatunga uzao mpya unaokaa tumboni kwa wa kike siku/miezi kadhaa kabla ya kuzaliwa kiumbe kipya chenye uhai?Kwa nini hutaki kuziamini siku tatu ila ukubali uzao mpya kukaa siku nyingi tumboni kabla ya kuzaliwa?
Dah umetisha mkuu
 
Kwa mawazo haya ndio maana wapinga dini wanazidi kuongezeka kila siku. Yaani tuamini tu kama mazombi kwasababu ni imani, dah inasikitisha sana.. binafsi nimekataa na kama ni kuchomwa moto nikachomwe nipo tayari.
Inavyoonekana miaka inayokuja dini na hizi imani zitapotea kabisa🤔
 
Suala la kuhoji ni la msingi, watu wanahoji wanataka kujua na wana hamu ya kujua. Kuna vitu vingine havieleweki sana. Kwa mfano kutoka Mlima wa Sinai hadi Caanan ni kilomita 350, wengine wanahoji....inakuwaje Israelites walichukua miaka 40 kutembea hadi kufika Caanan??? Hilo ni suala la msingi...watu wana haki ya kuuliza na kupata majibu sahihi.
Unajua bado kuna kitu huelewi mkuu.

Katika imani hakuna hoja isiyo na majibu, hoja zote zina majibu. Tatizo linaanza ukitaka majibu yawe na logic ilihali majibu ni ya kiimani.

Mfano wa hoja yako ya Misri, ukaambiwa MUNGU aliamua watange tange misri tayari umefikia ukomo wa kiimani wa kuhoji maana katika imani MUNGU habishiwi.

Na swali lolote litakalofata nje ya hapo ni kubishana na maamuzi ya MUNGU au kuwekea mashaka ya matendo yake na nadhani unaelewa maana yake ni nini kwa waamini.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom