Wakristo muwe na heshima aisee

Wakristo muwe na heshima aisee

Habari za asubuhi


Yani mtu unaenda kwa mtu tena leo Eid unanikutaka nimetulia naangalia vitasa marudio unachukua rimoti unaweka vipindi vya kikristo wachungaji na manabii feki toka saa 2 asubuhi hadi muda huu na hakuna dalili ya kuvibadilisha.

Mimi mwenyew ni kobaz na hujanikuta nimeweka vipindi vya dini licha ya leo kuwa siku muhimu kwetu, au anataka niseme nionekane nina roho mbaya?

Tukiwa kwa watu tujiheshimu aisee mambo madogo madogo tuyaache

Hilo tu

ANNA BWABWA UPO.
 
Habari za asubuhi


Yani mtu unaenda kwa mtu tena leo Eid unanikutaka nimetulia naangalia vitasa marudio unachukua rimoti unaweka vipindi vya kikristo wachungaji na manabii feki toka saa 2 asubuhi hadi muda huu na hakuna dalili ya kuvibadilisha.

Mimi mwenyew ni kobaz na hujanikuta nimeweka vipindi vya dini licha ya leo kuwa siku muhimu kwetu, au anataka niseme nionekane nina roho mbaya?

Tukiwa kwa watu tujiheshimu aisee mambo madogo madogo tuyaache

Hilo tu
Kwani nipo jukwaa gani humu..
 
Kalishika kende mbrengende ndende melembe !!!
Kalibusu kende, kalishika kende ndendende mbrengende !!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom