Gift mzalendo
JF-Expert Member
- Dec 13, 2019
- 3,924
- 5,169
Wakristo wanaingiaje hapo mkuuHabari za asubuhi
Yani mtu unaenda kwa mtu tena leo Eid unanikutaka nimetulia naangalia vitasa marudio unachukua rimoti unaweka vipindi vya kikristo wachungaji na manabii feki toka saa 2 asubuhi hadi muda huu na hakuna dalili ya kuvibadilisha.
Mimi mwenyew ni kobaz na hujanikuta nimeweka vipindi vya dini licha ya leo kuwa siku muhimu kwetu, au anataka niseme nionekane nina roho mbaya?
Tukiwa kwa watu tujiheshimu aisee mambo madogo madogo tuyaache
Hilo tu
Ungedili TU na huyo jirani yako
Ukristo ni moja ya dini ya hiari hulaximishwi