Wakristo muwe na heshima aisee

Wakristo muwe na heshima aisee

Munch wa Annabelle

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2019
Posts
6,290
Reaction score
10,870
Habari za asubuhi


Yani mtu unaenda kwa mtu tena leo Eid unanikutaka nimetulia naangalia vitasa marudio unachukua rimoti unaweka vipindi vya kikristo wachungaji na manabii feki toka saa 2 asubuhi hadi muda huu na hakuna dalili ya kuvibadilisha.

Mimi mwenyew ni kobaz na hujanikuta nimeweka vipindi vya dini licha ya leo kuwa siku muhimu kwetu, au anataka niseme nionekane nina roho mbaya?

Tukiwa kwa watu tujiheshimu aisee mambo madogo madogo tuyaache

Hilo tu
 
Habari za asubuhi


Yani mtu unaenda kwa mtu tena leo Eid unanikutaka nimetulia naangalia vitasa marudio unachukua rimoti unaweka vipindi vya kikristo wachungaji na manabii feki toka saa 2 asubuhi hadi muda huu na hakuna dalili ya kuvibadilisha.

Mimi mwenyew ni kobaz na hujanikuta nimeweka vipindi vya dini licha ya leo kuwa siku muhimu kwetu, au anataka niseme nionekane nina roho mbaya?

Tukiwa kwa watu tujiheshimu aisee mambo madogo madogo tuyaache

Hilo tu
mkuu sio sawa unachokililia hayo mambo waachie watoto,mimi huwa nawachia wageni waangalie chochote wanachotaka, sasa tv na karne ya sasa kulilia remot wakati unaweza ukatafuta hata kitu kingine kikakupa furaha acha mgeni afurahie si ataondoka na tv atakuachia,na hili jambo halihusiani na dini ni hulka zako tu
 
Habari za asubuhi


Yani mtu unaenda kwa mtu tena leo Eid unanikutaka nimetulia naangalia vitasa marudio unachukua rimoti unaweka vipindi vya kikristo wachungaji na manabii feki toka saa 2 asubuhi hadi muda huu na hakuna dalili ya kuvibadilisha.

Mimi mwenyew ni kobaz na hujanikuta nimeweka vipindi vya dini licha ya leo kuwa siku muhimu kwetu, au anataka niseme nionekane nina roho mbaya?

Tukiwa kwa watu tujiheshimu aisee mambo madogo madogo tuyaache

Hilo tu
Hahaha dogo kobaz. Usifanye mchezo na kondoo wa bwana. Sisi ni kondoo popote pale hisia zetu zinatupeleka iwe kifo, jema ama baya bora inahusiana na Yesu na Israel tutaenda.

hydroxo

adriz de mbusii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom