Wakristo kuleni vya kuchinja wenyewe katika Krimas na mwaka mpya

Mpap Ndabhit

JF-Expert Member
Jan 15, 2014
237
239
Sherehe za krismasi na mwaka mpya ni ibada maalumu Kwa wakristo. Ibada itakuwa ya maana iwapo mtakula Vyakula vilivyoandaliwa Kwa maombi yenu bila kuchanganya maombi ya miungu wengine. Lakini Kwa upendo mkubwa Msisahau kununua nyama za mabuchani Kwa ajili ya wageni wasio wa Imani yenu. Msiwalishe nyama mliyoandaa Kwa Dua zenu.
Nawatakia heri ya krismasi na mwaka mpya.
 
Sherehe za krismasi na mwaka mpya ni ibada maalumu Kwa wakristo. Ibada itakuwa ya maana iwapo mtakula Vyakula vilivyoandaliwa Kwa maombi yenu bila kuchanganya maombi ya miungu wengine. Lakini Kwa upendo mkubwa Msisahau kununua nyama za mabuchani Kwa ajili ya wageni wasio wa Imani yenu. Msiwalishe nyama mliyoandaa Kwa Dua zenu.
Nawatakia heri ya krismasi na mwaka mpya.
Ulitaka tule vilivyochinjwa na mkeo!? Au mamayako!
 
Sherehe za krismasi na mwaka mpya ni ibada maalumu Kwa wakristo. Ibada itakuwa ya maana iwapo mtakula Vyakula vilivyoandaliwa Kwa maombi yenu bila kuchanganya maombi ya miungu wengine. Lakini Kwa upendo mkubwa Msisahau kununua nyama za mabuchani Kwa ajili ya wageni wasio wa Imani yenu. Msiwalishe nyama mliyoandaa Kwa Dua zenu.
Nawatakia heri ya krismasi na mwaka mpya.
Amen
 
Kwa hiyo pilau lipikwe lenye nyama halisi na linguine lenye nyama bandia, biriyani kadhalika, kuku wa kukaanga kadhalika, hivi unajua samaki nao wanavuliwa kwa Imani fulani.

Kitakuwa ni kibarua kizito.

Kama mkristo anaweza basi achinje na kupika kwa dua zake.
 
Na wale wanaoumuamini Mungu mmoja ambae hajazaa wala hajazaliwa na hakuna anaefanana nae hawatakiwi kushiriki katika sherehe hii kivyovyote vile
 
Sherehe za krismasi na mwaka mpya ni ibada maalumu Kwa wakristo. Ibada itakuwa ya maana iwapo mtakula Vyakula vilivyoandaliwa Kwa maombi yenu bila kuchanganya maombi ya miungu wengine. Lakini Kwa upendo mkubwa Msisahau kununua nyama za mabuchani Kwa ajili ya wageni wasio wa Imani yenu. Msiwalishe nyama mliyoandaa Kwa Dua zenu.
Nawatakia heri ya krismasi na mwaka mpya.
Kama hutaki kulishwa usivyojua nani mchinjaji usile Hawa kuku wa kisasa huko mahotelini. Hiyo Sheria ya dini yako ilitungwa wakati watu wanachinja mfugo mmoja kwa miaka miwili.
 
Mbona hili jambo ni la kawaida sana. Kwa mfano hapa kwangu tayari jogoo wawili wameshachinjwa na vijana wangu, na kilo kadhaa za mdudu tayari zimeshakaangwa.

Yaani leo vijana lazima wafurahi kwa kula na kunywa.
 
Mambo mengine nikuendekeza ujinga tu.mimi kwangu mambo yote nafanyaga mwenyewe.huyo ambaye anajiona yeye ndiye mwenye haki yakunifanyia yanayonihusu apite hivi.huo ujinga uliendekezwa kwenye dunia ya uko zamani.Hizi dini zakuwaona wengine ni watakatifu wengine sio ni utumwa mkubwa sana wa fikra.
 
Watu mko serious na maisha kiasi kwamba kila kitu kinahitaji debate.. Anyways ukaribie pande hizi naona msosi tayari 😋😋
 
Back
Top Bottom