Wako wapi watu wako mliosoma wote

Pamoja na yote tusi regret.. Ni hatima ambato
😁 Brother mshana tumia I'd yako inginee utusimulie..

Just joke

NB. Ulicho KIELEZEA ni UKWELI wa wazi na TUPU.
Sina zaidi ya hii ningeshafanya hivyoπŸ˜πŸ˜€
 
Nafikiri nipo connected jamii forums kuliko na ndugu au marafiki, Kuna wakati maisha yanakutaka uwe peke yako
 
Marafiki wema wapo aisee
Nikiwa primary mwaka 2005 nilikuwa na mshikaji wangu wa utotoni, alikuwa mshikaji wangu sana

Nikiwa O level pale katoke seminary nilikuwa na wanangu wawili tulikuwa wahuni ila Sasa ni mapdre basi tukikutana Huwa tunakumbuka na kufurahia

Chuoni pale SAUT nilimpata jamaa angu ambaye hadi Sasa ni jamaa angu Huwa tunasaidiana sana, jamaa angu ana roho nyeupe
 
Mtafute akupe mtaji
 
KWELI AISEE
 
Girl friend wangu wa o level nimezaa nae na sasa kila mtu ana familia yake. Tulipendana sana na mpaka kesho tunapendana ila suala la ndoa ilishindikana. Kasepa na mtoto wangu wa kiume.
 
Nilisoma na Juma ikifika brake time anaenda kuvizia watu walionunua mihogo yao anawapora kwa kupita mbio kama kishada mfano wa mwewe anavyopita na kifaranga.

Sahivi amekua expert anajua magereza yote yana Selo ngapi na kaweka chata zake kwenye ukuta wa selo za magereza na vituo vya polisi, sijaonana nae kitambo nadhani yuko gerezani kapumzishwa
 
O level na primary. Hawa mara nyingi asili zenu zinafanana, eneo, Kabila, Mila dini, wazazi na kuoleana.
Ingawa kuna washkaji wa chuo wapo wazuri lakini hawawezi kuzidi wawili na mmoja snitch.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…