mgodi
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 2,780
- 1,845
Sawa, nilijua bado yupo radio 1D white yupo uhai fm ya azam huko
Sawa, nilijua bado yupo radio 1D white yupo uhai fm ya azam huko
Si kweli mwana fa ndio alicheza faulo kama ukisikiliza nyimbo ya jay moe y mawazo kwenye album yake ya pili ya mawazo ya jay moe hilo jambo alilizungumzia vemaSio kweli huyo dogo hakua vzr kiuchumi na umaarufu na J Mo alikua ameshatoka kimziki ivo FA alimshirikisha JMo wimbo Ingekua vipi...dogo akamfungulia Bunda za nyimbo zake Jmo akauona huyo wimbo wa mabinti,ivo akawahi kurekodi huku akibadili maudhuhi wa wimbo bila kuathiri wimbo wa FA huku akitaja majina tofauti na aliyoyataja FA....hapo ndo ikawa chanzo kutokua na maelewano na jmo kumbuka fa hapo anaishi kwa mama zakaria..huku jmo akiwa opposite kijitonyama ndo chanzo cha kujuana
Mkwe salama kabisa...nimekumiss mnooo!!!yaani mfungo ukiisha tutafutane baasiMkwe habari yako?
Yaani kwa kweli long time mnoo..shunie akae kutulia sasa!!
Loy bukuku???alikaa sana state,alafu akaletwa kusoma tosamaganga na mdogo wake.unfair life challenge.Au kwa hayati producer Loy BUKUKU,kaka yake Enika na Evan's Bukuku au kwa Enrico sound crafter
Wamekua mashangazi..last week nilikutana na Aminata ,maeneo ya Shoppers plazaWashakua wabibi
Aminata wa twanga na banzastone??Wamekua mashangazi..last week nilikutana na Aminata ,maeneo ya Shoppers plaza
Hapana Mkuu.Aminata wa twanga na banzastone??
Wale wakina fifi walikuwa wanakaa makumbusho sijawaona kitambo sanaWamekua mashangazi..last week nilikutana na Aminata ,maeneo ya Shoppers plaza
Wako wawili kuna km ujazo wa aminata. Huyu alisoma jangwani akaenda ifm .na km miss aminata keitaAminata keita
Ova
nakumbuka huyu manzi alikua na saluni yake town mitaa ya clock tower ..fikiria miaka 6-7 nyuma dem alikua anapush Range Sport aisee !! Nilikua nammezea mate sana
Acha kuchanganya madesa mkuuIla Mixing bongo Records
Umenikumbusha TA, mimi mtoto wa Nguvumali miaka ya late's 80Popote ulipo Kibibi Bendera, nakupa salammmm...macho yako tu hayo mama!!
Mimi jirani yako wa Kwaminchi, miaka tisini na kenda
Walipishana masaa tuUpi ulianza kutoka kati ya Jay mo au Mwana fa?
Sonel aliyeimba KIMEO nae ni mwana ZB?Zero brain acha kabisaa!