screpa
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 10,792
- 15,693
Nakumbuka wimbo huu ulifanana Sana na wimbo wa Jay mo Kama unataka demu... Kiasi ikaleta bifu Kati ya wawili hao coz Kila mtu alisema mwenzie kaiba idea...Hadi Leo hatujui idea ilikuwa ya Nani
Nani aliiba idea ya mwenzake, Mwana FA au Jay Mo?
Wahenga wenzangu, Nipo nasikiliza hizi ngoma mbili 'Kama Unataka Dem' ya JayMo na 'Mabinti' ya Mwanafalsafa. Hizi ngoma kwa pamoja zilisumbua sana miaka ya 2001/2002 kwenye charts mbalimbali za redio, cha ajabu idea ya hizi nyimbo zinaendana sana. Mimi naamini ufanano wa idea zao haikuwa...
www.jamiiforums.com