Halafu huyu Maty sijui alitendwa na nani??
Ngoja nimpatie homework mdau wangu mmoja anaitwa MJ1 (@MwanajamiiOne) anisaidie kumtrace...Nammiss sana huyu mjukuu....
Sitaki nianze kumlilia mtu ambaye yuko anacheza READY pale Nji kasoro bahari!!
Babu DC!!
....hehhhehhh.....ukijaaliwa kumpata msalimie sana swahiba.
Kipindi hicho JF haikuwa inaboa. Kila jukwaa uendalo unakuta lina wenyeji wake na limechangamka haswaa.Namshukuru sana Muumba nimeamka salama u salmin asubuhi hii,
Dahhh,....Gone are those days unafungua #JF unachungulia Teamo yamemkumba yapi leo...
au Asprin kakoswakoswa na majanga gani kwenye ile Baa yao!
bila kumsahau klorokwini na chombeza zake za hapa na pale....
huku Fidel80 na The Finest (huyu mara ya mwisho alianza kuhubiri neno na yeye!) wakibandika bandua
mpaka kinaeleweka.
Mbona umemsahau Rev Masanilo??
JF ilikuwa na raha bwana...
Ila kama kuna watu wamebadili jezi basi watutonye...nahofia tunaweza kuwaingiza kwenye missing people's list!
Babu DC!!
Keki ilikuwa ya mishkaki na Zanzi babu.......ni kitendo endelevu kwa wiki nzima.......bado hujachelewa.......karibu......
....hehhhehhh.....ukijaaliwa kumpata msalimie sana swahiba.
....siku za mwisho mwisho kumsoma, huyu mchungaji alikuwa #Mkali kweli kweli, midlife crisis hizi hatareee maazee
naamini huko aliko Mwenyezi Mungu muweza wa yote amemvusha salama aisee...
nyumba kubwa?... BelindaJacob?
Yaani I can't Imagine Magwiji wote tajwa leo humu siku hizi wameishiwa
"Maskendeli" ya kubandika jukwaa hili