Wakinga kwa fasheni hawajambo

Wakinga kwa fasheni hawajambo

Hiyo Makete hiyo.
Siku ya mnada tunaenda sehemu inaitwa Zambia ni mbele ya Bulongwa. Chai ya maziwa shilingi mia ya rangi mia mbili.
nimechekaa chai ya maziwa mia ya rangi mia mbili?
 
Nilisoma shule inaitwa Mwakavuta, wenyeji wanaitamka Mwakauta. Kuna kabinti kakanizoea kakawa kananihimiza tuwe tunaenda kanisani la sivyo wachawi watanishughulikia.

Wakati tunawasili tulipewa semina kua wasichana wa pale ukiwa na uhusiano nao wanakuloga ili uondoke nao Dar.

Sasa sijui ni kweli au vipi maana sikuwahi kwenda kanisani na sijawahi kushughulikiwa ila sikuwahi kua na uhusiano na binti yeyote.
Mwaka gani,mimi nimesoma Mwakavuta.
Kumbuka kijiji ni Mwakauta na shule ni Mwakavuta,hivyo lazima watamke Mwakauta.
 
12446157_1154811811196814_254746143_n.jpg
 
Kwa Mwakipande huwa mnaenda kufanya nini?
Ndugu hio ni History na sijui,kwa mtu mwenye elimu atatafuta pesa sio kwenda kwa Wanganga,wajinga ndio waliwao.

Nimezaliwa Bulongwa hadi Olevel nimesoma kule,Alevel Mbeya na chuo Dar sijui nasikikia tu hayo majina na ni mfanyabishara hapa mjini.
 
Hiyo Makete hiyo.
Siku ya mnada tunaenda sehemu inaitwa Zambia ni mbele ya Bulongwa. Chai ya maziwa shilingi mia ya rangi mia mbili.
Nimekoma na hizo bei. Chai ya maziwa bei rahisi kuliko ya rangi, hayo maziwa ya kiganga so bure
 
Ndugu hio ni History na sijui,kwa mtu mwenye elimu atatafuta pesa sio kwenda kwa Wanganga,wajinga ndio waliwao.

Nimezaliwa Bulongwa hadi Olevel nimesoma kule,Alevel Mbeya na chuo Dar sijui nasikikia tu hayo majina na ni mfanyabishara hapa mjini.
Mwakipande si ndio alikuwa anagawa mabasi. Embakassy, Victoria, Comfort, Safina, Tunyande, Matema Beach, Upendo wote walipata mabasi kwa Mwakipande
 
Nimekoma na hizo bei. Chai ya maziwa bei rahisi kuliko ya rangi, hayo maziwa ya kiganga so bure
usiwasingizie bwana, yalikua poa tu. Sasa ukinunua chips za 1000 haumalizi.
 
Back
Top Bottom