Friday Malafyale
JF-Expert Member
- Jan 18, 2017
- 1,818
- 2,936
kumbe makabila huyajuiWakinga si ndio haohao Wanyakyusa?
kumbe makabila huyajuiWakinga si ndio haohao Wanyakyusa?
kuchochora ndio kupi tena? Au ndio lugha za kiganga?Loh umechochora kwelikweli
Kuhusu Historia mimi sijui ila ninachojua Bulongwa wapo wakingaBabu zetu wanatusimulia kuwa Wakinga walikuja Bulongwa kutafuta maisha na kupora baadhi maeneo yetu,ni sawa na wageni tu ila miaka mingi imepita na wamekuwa wenyeji.
Lugha ya kiganga ndo ipi? Kama hujaelewa sio yakokuchochora ndio kupi tena? Au ndio lugha za kiganga?
Nilisoma shule inaitwa Mwakavuta, wenyeji wanaitamka Mwakauta. Kuna kabinti kakanizoea kakawa kananihimiza tuwe tunaenda kanisani la sivyo wachawi watanishughulikia.![]()
halafu mimi huwa nawashangaa sana wanaowashikia bango la uchawi wakinga. Hivi vituko vyote vya uchawi sijawahi kusikia kituko chochote kutoka Makete nasikia tu Sumbawanga, Songea, Tabora n.k hebu nisimulieni tukio moja la kishirikina kutoka ukinga...lilolosikika kwenye vyombo vya habari sio ulilosimuliwa na jirani yako mwenye wivu wa kimaskini
Kwa Mwakipande huwa mnaenda kufanya nini?Wanatusema kwasababu tunatafuta sana pesa na tunazipata,mti wenye matunda hupigwa mawe.
Nilisoma shule inaitwa Mwakavuta, wenyeji wanaitamka Mwakauta. Kuna kabinti kakanizoea kakawa kananihimiza tuwe tunaenda kanisani la sivyo wachawi watanishughulikia.
Wakati tunawasili tulipewa semina kua wasichana wa pale ukiwa na uhusiano nao wanakuloga ili uondoke nao Dar.
Sasa sijui ni kweli au vipi maana sikuwahi kwenda kanisani na sijawahi kushughulikiwa ila sikuwahi kua na uhusiano na binti yeyote.
hayo mambo yapo kila sehemu hasa ukienda vijijini.Makete huko?Nilisoma shule inaitwa Mwakavuta, wenyeji wanaitamka Mwakauta. Kuna kabinti kakanizoea kakawa kananihimiza tuwe tunaenda kanisani la sivyo wachawi watanishughulikia.
Wakati tunawasili tulipewa semina kua wasichana wa pale ukiwa na uhusiano nao wanakuloga ili uondoke nao Dar.
Sasa sijui ni kweli au vipi maana sikuwahi kwenda kanisani na sijawahi kushughulikiwa ila sikuwahi kua na uhusiano na binti yeyote.
Of course wakinga kuvaa hawajui ni washamba fulani hivii ila pesa wanajua kuisaka sana. Ndeti ndeti mapembelooo
Ni kweli.![]()
![]()
hayo mambo yapo kila sehemu hasa ukienda vijijini.

Mbona naambiwa hapo jamaa alikuwa amedrop kwenda ku renew mkataba na mababu...Huyo Msukuma wewe umechanganya.
Ndio ujue ni wageni walivamia tu kama wanavyovamia mikoa mingine.Kuhusu Historia mimi sijui ila ninachojua Bulongwa wapo wakinga
Hiyo Makete hiyo.Makete huko?
Pesa ni mhimu zaidi,au ove wita ndeti,ihela ne mienda.Of course wakinga kuvaa hawajui ni washamba fulani hivii ila pesa wanajua kuisaka sana. Ndeti ndeti mapembelooo
Ni kweli.
Ila kama wewe ni Mkinga hebu fanya mpango wa mkate wa Kikinga![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
mnatuchamba af vitu vyetu mnapenda nyoo nikikuwekea dawa?Ni kweli.
Ila kama wewe ni Mkinga hebu fanya mpango wa mkate wa Kikinga![]()
![]()
![]()
![]()
![]()