Wakili Peter Madeleka akamatwa na polisi baada ya Mahakama Kuu kufuta Plea Bargain aliyoingia na DPP

Watu wengi wanashindwa kuelewa jambo moja, kilichotokea kwa Madeleka kukamatwa ni sawa sababu faili lake limerudishwa polisi wao warudishe kwa DPP alafu kesi iendelee pale ilipoishia.

Sasa mambo ya Tume ya kuchunguza haki jinai hapa yanaingia kwa udogo sana sababu Madeleka hajashinda kesi ya msingi bali ni ombi tu linalorudisha ile kesi ya msingi.

Kwa ufupi sana ni kwamba Madeleka ni mtuhumiwa kwa sasa, na ni mtuhumiwa kwa ile ile kesi yake ya awali ambayo kimsingi yeye mwenyewe ndio ameona sasa bora akapambane na ile kesi ya awali kwa kupinga alichokubaliana na DPP.

kwa ufupi sana jambo lake limekaa hivyo.
Waswahili walisema "Ukichamba sana utakamata mavi".

Madeleka kayavagaa mavi LIVE
 
Back
Top Bottom