Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,331
- 14,259
Haswaaa!!!,Tutakuwa tumekomaa sasa.Lakini ni kwa bahati mbaya sana "kujua sheria" Tanzania, kwenye enzi tulipotoka (enzi za Magufuli), ilikuwa haisaidii chochote. Labda sasa tutaanza kuona maana na uzuri wa kujua sheria kama hali itaendelea kuwa hivi ; yaani mahakama ionekane kufanya kazi bila ya kuingiliwa na yeyote.