Huihui2
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 5,277
- 8,004
- Thread starter
- #41
Hakuna jambo baya kama kujua usichokijua.
"Ili mtu awe na SIFA za kuwa WAKILI MKUU WA SERIKALI, anatakiwa kuwa na UZOEFU wa KUENDESHA KESI MAHAKAMANI KWA MIAKA 15. Angalia AMRI namba 5(3) hapo 👇. Dr. BONIPHACE LUHENDE alisajiliwa kuwa WAKILI tarehe 6 DISEMBA 2013. Mwaka 2028 ndiyo ANGEKUWA na SIFA za kuwa WAKILI MKUU