Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 81,320
- 94,244
Taratibu zinasemaje?Huyo ni mtumishi wa umma, huwezi kuwa wakili binafsi halafu ukawa wakili wa serikali, kuna Public Bar Association, na kuna chama cha mawakili binafsi, ukiwa kwa umma lazima usilipie leseni ya uwakili binafsi, you must suspend your practising licence