Ukiona kitu kinakuchekesha unafanyaje? Hata wewe avatar yako inanichekesha, Is that wrong?Acheni siasa, ile ni dhihaka na sio vinginevyo. Tupingane na Rais katika mambo ya msingi ila sio kumdhihaki.
Ukiona kitu kinakuchekesha unafanyaje? Hata wewe avatar yako inanichekesha, Is that wrong?Acheni siasa, ile ni dhihaka na sio vinginevyo. Tupingane na Rais katika mambo ya msingi ila sio kumdhihaki.
haahah tusiwacheke wasukuma.hata mimi sijapenda alivyomcheka hivyo alafu ukizingatia ni msukuma
Ndio unaenda kujchekesha mbele ya watu!Lione jioga! Ukiona kitu kinakuchekesha unafanyaje?
Hizo likes na viwes ndio zimempleka Mdude kunyea debeKitu kinachomsumbua indris ni views na likes za instagram ,maana kwanza ile picha haichekeshi sana halafu hakuna haja ya yeye kudescribe
Call it vyovyote vile but i do believe that kuna baadhi ya mambo ambayo haiitaji elimu kuweza jua kwamba unaenda tumbukia ktk migogoro inayoepukika, kuna kucheka na kucheka kwa kutafuta kiki. Mbona wewe hujakamatwa haiyumkini ulicheka pia.Lione jioga! Ukiona kitu kinakuchekesha unafanyaje?
woga ni dhambi kubwa!Call it vyovyote vile but i do believe that kuna baadhi ya mambo ambayo haiitaji elimu kuweza jua kwamba unaenda tumbukia ktk migogoro inayoepukika, kuna kucheka na kucheka kwa kutafuta kiki. Mbona wewe hujakamatwa haiyumkini ulicheka pia.
sawa lakini huo ujinga wake akafanye kwa billnas ndo saizi yake sio kwa kiongozi wa nchi jamaniYeye ni mchekeshaji na ubongo wake ndivyo ulivyoumbwa na anachoona yeye kinachekesha mtu mwingine hataona kinachekesha, ndivyo ubongo ulivyo. Ubongo unaweza ukakufanya ucheke ukimuona mtu mwingine na wengine watakushangaa, kicheko hicho si cha hiari yako. Tujiulize ikitokea kapandishwa kizimbani na hakimu au mtu yoyote akamcheka kwa muonekano wake naye amfungulie shitaka? Kucheka hukuongezea siku za kuishi, laughter is the best medicine. Inatoka na ubongo kufanya imagination nyingi kichwani mwako.
Kwani yule anae muiga kuongea na kuvaa kutofauti gani na huyu anae cheka picha ya rais? Wacheni upumbavu Watanzania kucheka picha ya rais sio kumcheka rais.......Labda alikuwa anamchekla fundi aliyeshona hiyo suti ya rais......Tunarudishwa kwenye ukomonisiti...Wajinga nyie
Kitu kinachomsumbua indris ni views na likes za instagram ,maana kwanza ile picha haichekeshi sana halafu hakuna haja ya yeye kudescribe
Ukiona kitu kinakuchekesha unafanyaje? Hata wewe avatar yako inanichekesha, Is that wrong?
Hata wewe tu ukichekwa kwa dhihaka ni halali yako kabisa kushtaki!!!kwa hiyo Jpm hachekwi
Hii nchi kuja kuendelea ni kazi sana kwa mentality hizi
Mkulima wa mahindi
Ndomana wakina Joti, Mpoki etc hawataniagi hukoPole yake. Ajue kuna top layer ambayo haiguswi.
Eh! Basi! Mbona alipiga push up! Mtu kama wewe, ameajiliwa na wewe. Tatizo hujui kuwa anajivika mamlaka ambayo hakupewa na wananchi...Unaweza vipi kunifananisha mimi na Rais?
Sent from my iPhone using JamiiForums