Masangutu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 814
- 647
Tanzania bila majungu haiendi ndivyo tulivyo jamani. watu wamekaa tu kimajungu tu kazi hawafanyi.
...Suala Sio Majungu!Suala Niwao Kuishi Kihalali Kama Sisi Wanavyotubania Kwao,
Tanzania bila majungu haiendi ndivyo tulivyo jamani. watu wamekaa tu kimajungu tu kazi hawafanyi.
wabongo bado wamelala... mtu anaingia nchini anapewa na uanachama wa kisiasa..!!
Tatizo mkifika nchi ya wenzenu bado mnaendeleza chuki na kujiona vilevile, tanzania wapo wengi wanaish hum, sionyietu kuna warundi,warwanda, nani aanze kushambulia wale walikimbia ukame kwao! wakileta unyang'au wao basi itakuwa imekula kwao maana wtz tunafaham dunian jirani yetu mnafiki na1 ni mkenya
...Suala Sio Majungu!Suala Niwao Kuishi Kihalali Kama Sisi Wanavyotubania Kwao,
Wakenya inabidi muwe wapole, mkiwa mnakuja tz njooni na vibali maalumu sio mnakuja mnachukua ardhi za wazawa na kulisha ng'ombe zenu... msiwe mnavunga wajuaji.. watanzania hatuwezi kuwafanyia vitendo vya aina hiyo ila kuweni wapole, acheni kupiga domo wakati tunawahfadhia ndugu zenu na makampuni yenu..
Uko right sosoliso. Hakuna sababu ya kumfukuza mtu anayejitafutia maisha kihalali as long as na sisi tunanufaika na uwepo wake. Muhimu ni idara ya uhamiaji kuwatambua tu.
Mbeya tushazoeana na wakongo, wazambia, wamalawi na hutasikia kelele
Wakenya ni watu wa kutumia fursa. Kwa sasa tanzania sio tena shamba la bibi bali shamba la marehemu. Bora bibi unaweza kumuogopa kama yupo shambani lakini shamba la marehemu halina mwenye! Watoto wamelitelekeza na kuzamia mijini!
View attachment 245320
Gazeti la Jamhuri limeripoti kuwa Wakenya zaidi ya 280 wameingia Loliondo pamoja na Serengeti na kuishi kinyume na sheria.
Baadhi yao wamediriki hata kupewa uanachama wa CCM na kupewa uongozi mbalimbali wa chama hicho. Mkuu wa Wilaya amekiri kuwepo kwa wahamiaji haramu hao.
Mpaka sasa ni 17 tu ambao wamekamatwa na kufikishwa mahakamani.
Majina yote jamhuri wameyaweka ili kuvisaidia vyombo vya usalama kuwashughulikia.
Maoni yangu ni kuwa hili suala ni nyeti sana hasa wakenya sio majirani wazuri kama tunavyowafikiri.
Kwao hawawezi kukuruhusu hata kupata eneo la biashara kirahisirahisi, waulize Watanzania wanaoishi mipakani watawapa majibu.
Hivyo viongozi husika walichukulie serious ili jambo waache virushwarushwa. waanze kuwashughulikia kama ile operation kimbunga.
Kwamba sisi wakenya ni watu wa maringo mingi ni perception tu. Siyo ukweli.Tatizo mkifika nchi ya wenzenu bado mnaendeleza chuki na kujiona vilevile, tanzania wapo wengi wanaish hum, sionyietu kuna warundi,warwanda, nani aanze kushambulia wale walikimbia ukame kwao! wakileta unyang'au wao basi itakuwa imekula kwao maana wtz tunafaham dunian jirani yetu mnafiki na1 ni mkenya