tpaul
Platinum Member
- Feb 3, 2008
- 25,995
- 25,388
Yaani unga umeingia mchanga, limeanzishwa kule South na linaenea sasa. Wakenya tunaopiga deals EAC na haswa Bongo tukae mkao wa kuondoka wakati wowote, magazeti yao yameanza kukinukisha. Halafu yao itakua Kenyaphobia sio xenophobia maana wana majungu na Wakenya tu, hawajali kuhusu Wahindi wala Wachina wanaowanyanyasa kila uchao.
Naomba sana Kenya tusiingie chuki za aina hii, Wabongo wote waliopo Kenya kwa maelfu waishi kwa amani siku zote.
![]()
PressTZ .::. Wakenya wavamia tanzania
https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/839300-wakenya-wavamia-tanzania.html
hivi hawa CCM wanaipeleka wapi hii nchi? wako tayari kuuza utaifa wetu ili wapate madaraka. hawa watu ni wa kuogopwa kama ukoma.
Last edited by a moderator: