kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,755
watanzania wako busy na masuala ya msingi,wakenya kila siku ni kujadili negative effect.watz tuko mob hapa kenya wala hamuwez kutuua mkatumaliza na wakenya wako mob tanzania hakuna atakae waua akawamaliza,intermarriage nayo ni kubwa sana, imagine nachapa dada zenu, present wenu mzazi willy mtuva kila siku yupo bongo kuangalia family yake
falcon,
funguka vizuri kuhusu will mtuva,hivi ni mbongo?.maana dah jamaa kile kiswahili chake kipo poa sana huwezi kukitofautisha na kiswahili cha radio presenters wa bongo.kuna mtu aliniambia ana asili ya tanga.sina uhakika lakini.