Wakenya wavamia Tanzania

Wakenya wavamia Tanzania

Hehehe!! hii ina ukweli fulani nakiri kama Mkenya. Niliwahi fanya mradi fulani Mwanza halafu jioni nikaamua kutalii na kutafuta sehemu poa ya kula bata, nilizunguka mji na taxi kwenye vilabu vikubwa kama Park Villa na Diamond, aisei niliwakuta Wakenya wanakula bata nikadhani Nairobi. Duh! sasa mnataka vipi, kutucharanga mapanga kama Wasouth ama niaje, maana hata mademu wenu tunawapenda, kwanza mimi hata kwa mapanga siachii nikikutana na toto nzuri la Tanga. kui

Haha!,.....unaijua shughuli ya watoto wa Kitanga eh!, I told you once you go Tanzanian you can't go back...lol!
 
Jamani tuache chuki zisizo kuwa na mshiko kwa majirani zetu. Kumbuka hata Kenya kuna Watanzania kibao wanaoishi huko bila visa wala vibali maalumu. Na sio kweli kusema eti Wakenya hawawezi kukupa nafasi ya kufanya biashara. Ninao uhakika na hili kwani katika soko maarufu la kikomba pale Nairobi kuna Watanzania wengi sana wanafanya biashara zao za kuuza nguo, viatu, vyombo vya ndani, samaki n.k na hakuna mkenya anayewabugudhi.

Ingawaje sisemi jirani zetu waje kiholela, lakini tusitumie lugha ya kusema tuwafukuze kwani nao wanaweza kuwafukuza Watanzania walioko Kenya vile vile.

Tiba

We tiba unasema nini, ujirani upo lakini sheria za mipaka ni pale pale, kama mtz ni haramu Kenya akamatwe vilevile mkenya Tanzania, alshabaab si wasomalia tu... Hilo ni muhimu, tunamuomba Mungu aawaangazie macho polisi popote walipo kwa jina la yesu
 
Watanzania acheni chuki za kijinga kwan ni watanzania wangapi wamekodi mashamba huko Kenya kwaajili ya kilimo cha umwangiliaji na tena wanaishi kama wapo kwao! punguzeni majungu

Hiyo si kweli, Kenya huezi kaa kiholela, nimesoma Kenya chuo nawaelewa sana askari wa Kenya. Si kwamba wangewakamata, wangewapiga risasi
 
Why are you tagging me in a stupid xenophobic thread about a stupid xenophobic topic in a stupid xenophobic paper?

coz uhamiaji wa kiholela mnaoufanya umekithiri ni muda sasa wa kuwapa wananch wenu mahitaji wanayoyafuata tz hususan ya ulinzi na usalama wao.
 
Hiyo si kweli, Kenya huezi kaa kiholela, nimesoma Kenya chuo nawaelewa sana askari wa Kenya. Si kwamba wangewakamata, wangewapiga risasi

na mtz anapouawa kenya huwa hamnaga kesi utasikia wanasingizia alikuwa mwizi
 
Yaani unga umeingia mchanga, limeanzishwa kule South na linaenea sasa. Wakenya tunaopiga deals EAC na haswa Bongo tukae mkao wa kuondoka wakati wowote, magazeti yao yameanza kukinukisha. Halafu yao itakua Kenyaphobia sio xenophobia maana wana majungu na Wakenya tu, hawajali kuhusu Wahindi wala Wachina wanaowanyanyasa kila uchao.
Naomba sana Kenya tusiingie chuki za aina hii, Wabongo wote waliopo Kenya kwa maelfu waishi kwa amani siku zote.

attachment.php


http://www.presstz.net/details/wakenya-wavamia-tanzania-177737.html

https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/839300-wakenya-wavamia-tanzania.html

Hapo sio xenophobia, gazeti linaeza wazi loliondo. Wakenya wapo mpaka iringa, mtwara, Mwanza name it. Kwa nini wasiwataje hao, huwezi penyeza nchini kiholela kwa sababu nchi haina noma. Si kwamba tunawachukia, lakini ukiingia underground unaamsha mawazo, kama, wana mpango gani hawa mbona wanaingia kwa siri. Mtu yoyote anaeingia kwa siri hawezi kuwa na interest na nchi aliyoingia, ujio wako unapasa uwe na faida kwetu tena ya bila kificho, sasa ukiingilia loliondo unataka kutupa faida gani? Au unataka kuua tembo serengeti
 
Back
Top Bottom