Mfamaji
JF-Expert Member
- Nov 6, 2007
- 6,629
- 1,950
Linchi la watu wasiofikiria. Ukiangalia viongozi wao wanakesha mabaa na night clubs huko dofoma na Dar. Mchana ndio wanashow off ukubwa wao kwenye supermarkets uchwara. na vikao visivyo na tija. Wanafikiri saa ngapi?
Huwezi kufikiri kama hujajipa muda wa ukimya wa kutosha tena kila siku. Sasa wao hufikiri saa ngspi?
"He who does'nt think is dead"
Tz tunaongozwa na hao. Nasi tunakaribia kuwa kama wao. Ndio maana tunawapa kura hao magamba wakati tunajua wako nusu au wafu kabisa.
Huwezi kufikiri kama hujajipa muda wa ukimya wa kutosha tena kila siku. Sasa wao hufikiri saa ngspi?
"He who does'nt think is dead"
Tz tunaongozwa na hao. Nasi tunakaribia kuwa kama wao. Ndio maana tunawapa kura hao magamba wakati tunajua wako nusu au wafu kabisa.