Kuna msemo wa kiswahili, huwezi kutajirika kwa jirani yako. Tusiwe na matumaini makubwa sana. UCHUMI WETU UNAKUWA NA KARIBU TUTAWAKUTA ILA TUKIWAACHIA TANZANITE, UTALII, DHAHABU NA MADINI MENGINE WATAZIDI KUSONGA MBELE.
Mkuu,
Msemo huo ndiyo msingi wa umasikini wenyewe.
Ili uwe tajiri lazima ukachukue kwa jirani.
Bila majirani utajiri wako hauwezi kuongezeka (ref. Ukoloni na mendeleo ya nchi za magharibi).
Ukoloni mamboleo ni muendelezo.