guwe_la_manga
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 2,820
- 2,755
nataka nikawekeze kenya katika kilimo cha vitunguu naomba muongozo.
Kwanini na sisi tuende kufungua bar Kenya?kenya wamewekeza vitu vidogo dogo kama maduka ya madawa na bar nkTanzania kampuni chache lakini za nguvu
Kwanini sisi waTZ tunapenda kujifariji hivi?!!!kenya wamewekeza vitu vidogo dogo kama maduka ya madawa na bar nkTanzania kampuni chache lakini za nguvu
Kama ndiyo tunategemea CCM ituvushe tusahauKwenye uchumi mkubwa zaidi yetu ni kweli japo tunaweza kuwapiku tuki maintain speed ya ukuaji wa uchumi ndani ya miaka mitano ijayo.
Lakini si kweli kuwa wana wataalam bora na elimu bora zaidi yetu, labda lugha ya kiingereza chenye lafudhi ya kikenya.
Jambo la msingi ni kuwa support watu wetu wanaojaribu ili wakue na kushindana na Makampuni ya nje. Hii iwe Sera rasmi kabisa.
Hilo tu.
mikonyagi kibao soko lao liko kenya kuliko TanzaniaKwanini na sisi tuende kufungua bar Kenya?
Unaweza kututajia hizo kampunikenya wamewekeza vitu vidogo dogo kama maduka ya madawa na bar nkTanzania kampuni chache lakini za nguvu
Ulipeleka?mikonyagi kibao soko lao liko kenya kuliko Tanzania
kenya wamewekeza vitu vidogo dogo kama maduka ya madawa na bar nkTanzania kampuni chache lakini za nguvu
Yaani ninyi !!. Mungu awasamehe bure tu, hamna namna . Siasa zetu zimekuwa na athari mbaya kwa nchi na wananchi wake. Hiyo ya kwenu ni uzalendo uchwaraUkiona hivyo, jua ni rahisi kuwekeza Tanzania.
Sijui Wakenya wanatoa watu wapi?wa kuwatetea na kuthamini vitu vyao.Huu mtindo wa Ovyo kabisa kuwahi kutokea.Wakenya wana uchumi mkubwa zaidi yetu, pia wana wataalamu wa viwango zaidi yetu sababu elimu yao ni bora, na sio hapa kwetu tu, hao jamaa wametapakaa mpaka SA huko wana exposure ya biashara, kutaka sisi tuwe kama wao itachukua muda kidogo, nionavyo bora tujifunze toka kwao ili baadae na sisi tuendeshe mambo yetu.
Hivi unaweza kuziorodhesha kampuni hizo 529 ,mkuu, ili tujue na tuweze kuchangia vizuri mada yako?Wakuu
Kenya ina jumla ya kampuni 529 zinazoendesha shughuli zake nchini Tanzania ambapo zimewekeza Dola za Marekani Bilioni 1.7 na zimeajiri watu 56,260.
Tanzania sisi sasa tuna kampuni 30 tu. Je, tumekwama wapi kama Nchi?
Nini kifanyike? Waalimu, Wahudumu katika hoteli nyingi ni Wakenya. Wapi wizara zetu na wale watoa maamuzi wanaweka mkakati wa pamoja juu ya hili?
Hii ni hoja muflisi kabisa...!Waje tu, watupatie hata kazi za ulinzi na kusafisha ofisi na kuwaoshea magari
Maana sisi tumezubaa tu.
Mkuu watu elfu 56 kwenye watu zaidi ya milioni 50 ?Acha kuwakuza kwa kiwango hiko huo uwekezaji ni wa kawaida sanaaaaaaaWakuu
Kenya ina jumla ya kampuni 529 zinazoendesha shughuli zake nchini Tanzania ambapo zimewekeza Dola za Marekani Bilioni 1.7 na zimeajiri watu 56,260.
Tanzania sisi sasa tuna kampuni 30 tu. Je, tumekwama wapi kama Nchi?
Nini kifanyike? Waalimu, Wahudumu katika hoteli nyingi ni Wakenya. Wapi wizara zetu na wale watoa maamuzi wanaweka mkakati wa pamoja juu ya hili?
Kama tunachoma vifaranga vyao je?Wakuu
Kenya ina jumla ya kampuni 529 zinazoendesha shughuli zake nchini Tanzania ambapo zimewekeza Dola za Marekani Bilioni 1.7 na zimeajiri watu 56,260.
Tanzania sisi sasa tuna kampuni 30 tu. Je, tumekwama wapi kama Nchi?
Nini kifanyike? Waalimu, Wahudumu katika hoteli nyingi ni Wakenya. Wapi wizara zetu na wale watoa maamuzi wanaweka mkakati wa pamoja juu ya hili?
Mkuu makampuni mengi ni ya uchochoroni, ambayo Yana fahamika hayazidi ata 50, anaweweseka na makampuni ya kulipa watu laki na nusu ahahahahahahaHivi unaweza kuziorodhesha kampuni hizo 529 ,mkuu, ili tujue na tuweze kuchangia vizuri mada yako?
Najuwa wapo Kampuni ya Agha Khan, ile ya magazeti, yapo mabenki kadhaa, kama DiamondTrust Bank, KBC, na ile ya James Mwangi; haya tunayafahamu vizuri na tunaweza kuyaongelea bila ya matatizo.
Kuna mengine ya Bima, kama AAR, iliyotangaza hivi karibuni kufungasha vilago, nayo inaitwa ya Kenya?
Kwa ufupi mkuu, tafadhali tuwekee hiyo orodha kamili hapa tupate kuijadili vyema.
Tukianzia hapo, tunaweza sasa kulinganisha uwekezaji kwa mwenzake kati ya nchi hizi mbili.
Watanzania tujifariji? unaota tukiamua ku compete wakenya watatafuta pa kujificha.Wakenya wakibisha wamuulize Akamba bus service ambaye kenya ndio giant namba moja kwenye usafiri wa mabasi Alijaribu kuleta mabasi ya route ya kenya Tanania alipigwa mateke na Wenye mabasi watanzania wenye mabasi ya Tanzania kwenda kenya akina Dar express nk hadi akafunga ofisi akarudi kwao kenya kwa kushindwa competition.Kwanini sisi waTZ tunapenda kujifariji hivi?!!!
Sisi biashara lazima tupende kusoma na kujifunza. Sisi lazima tutambue kwamba bila dhamira yetu wenyewe ya kutafuta maendeleo, hatutaendeleaHata sisi tumewapiga bao kwenye uzinzi, ulevi, uvivu, utapeli na ushirikina.