Wakenya wametupiga bao sana kwenye uwekezaji nchini

Mpaka leo hii tunaongelea kukosekana kwa muunganiko wa utendaji kazi baina ya wizara moja na nyingine na ni jambo ambalo Rais analisema mbele ya mawaziri wake!, kujilinganisha na wakenya wa sasa bado ni kufanya makosa.

Msingi wao ni wa ubepari tangu taifa lao lilipoanzishwa, wamefundishwa kutoka jasho ili mtu afike juu kimaisha. Na masuala ya ukabila ni sehemu ndogo tu ya udhaifu wao kitaifa.

Tunayo bahati kwamba kwa sasa tunao watu wengi wenye elimu kubwa na uelewa mpana wa dunia ya leo, hivyo matumaini yapo ya kuja kufika walipofika majirani hawa.
 
Mpaka leo hii tunaongelea kukosekana kwa muunganiko wa utendaji kazi baina ya wizara moja na nyingine na ni jambo ambalo Rais analisema mbele ya mawaziri wake!, kujilinganisha na wakenya wa sasa bado ni kufanya makosa.

Msingi wao ni wa ubepari tangu taifa lao lilipoanzishwa, wamefundishwa kutoka jasho ili mtu afike juu kimaisha. Na masuala ya ukabila ni sehemu ndogo tu ya udhaifu wao kitaifa.

Tunayo bahati kwamba kwa sasa tunao watu wengi wenye elimu kubwa na uelewa mpana wa dunia ya leo, hivyo matumaini yapo ya kuja kufika walipofika majirani hawa.
Wakati niko University of Dar es Salaam School of Business tuliwasaidia sana kuwafundisha Wanafunzi Wao wa PhD katika Business School yao.

Sisi tulikuwa na staff wenye PHD wengi kuliko wao. Mtanzania Mwenzetu Prof. Kaijage alikuwa Chair wa Barclay's Bank Kenya. Katika Eastern Africa We were the Top Business School. Hata Baadhi ya Business Schools in South Africa tulikuwa tunawashinda.

Wakati Mwingine sisi Wenyewe wa TZ. huwa hatujiamini.
 
Mpaka leo hii tunaongelea kukosekana kwa muunganiko wa utendaji kazi baina ya wizara moja na nyingine na ni jambo ambalo Rais analisema mbele ya mawaziri wake!, kujilinganisha na wakenya wa sasa bado ni kufanya makosa.

Msingi wao ni wa ubepari tangu taifa lao lilipoanzishwa, wamefundishwa kutoka jasho ili mtu afike juu kimaisha. Na masuala ya ukabila ni sehemu ndogo tu ya udhaifu wao kitaifa.

Tunayo bahati kwamba kwa sasa tunao watu wengi wenye elimu kubwa na uelewa mpana wa dunia ya leo, hivyo matumaini yapo ya kuja kufika walipofika majirani hawa.
Hatuwezi kufika huko tukiwa na viongozi aina ya Ndugai, Mwigulu, Kabundi, Gwajima, n.k
 
Wakati niko University of Dar es Salaam School of Business tuliwasaidia sana kuwafundisha Wanafunzi Wao wa PhD katika Business School yao.

Sisi tulikuwa na staff wenye PHD wengi kuliko wao. Mtanzania Mwenzetu Prof. Kaijage alikuwa Chair wa Barclay's Bank Kenya. Katika Eastern Africa We were the Top Business School. Hata Baadhi ya Business Schools in South Africa tulikuwa tunawashinda.

Wakati Mwingine sisi Wenyewe wa TZ. huwa hatujiamini.
Kujiamini ni silaha yao muhimu sana mkuu Josh J. Wapo positive minded siku zote, hawakatishani tamaa kama sisi.

Tunajiona wadogo siku zote na tunabakia wadogo kibiashara hata katika masuala ya kawaida kabisa.
 
Wakuu

Kenya ina jumla ya kampuni 529 zinazoendesha shughuli zake nchini Tanzania ambapo zimewekeza Dola za Marekani Bilioni 1.7 na zimeajiri watu 56,260.

Tanzania sisi sasa tuna kampuni 30 tu. Je, tumekwama wapi kama Nchi?

Nini kifanyike? Waalimu, Wahudumu katika hoteli nyingi ni Wakenya. Wapi wizara zetu na wale watoa maamuzi wanaweka mkakati wa pamoja juu ya hili?
Huwezi kwenda kuwekeza Kenya wakati TZ Fursa kibao. Ni mwendawazimu ataacha fursa za TZ kwenda kuwekeza Kenya ambako hata Ardhi hawana.

Hata Urusi hukuti wakiwekeza sana mbali na kwao, kwa sababu Eneo zima la Kafkas bado hawajalitimizia, badala yake ni Ulaya na Marekani ndio wanalazimisha kujiingiza huko. Ndio maana hukuti warusi wakiwekeza Afrika kwa nguvu zote, kwa sababu huo muda hawana kwa jinsi Raslimali zilivyojaa huko Kafkas.
 
nataka nikawekeze kenya katika kilimo cha vitunguu naomba muongozo.
Du, nakuonea huruma. Kama unachenj kawekeze Iringa - Vitunguu maji, swaumu, tangawizi zitakulipa zaidi kuliko kwenda huko Kenya.

Msifanye ushindani wa kuiga angalieni fursa. Kenya hawajatupiga bao bali sisi ndio tumekuwa wazuri katika sera yetu ya kuita wawekezaji.

Na huo ndio muelekeo wa taifa, tunataka makampuni 1000+ ya Kenya yaje kuwekeza TZ kwa kipindi cha miaka 10.
 
Du, nakuonea huruma. Kama unachenj kawekeze Iringa - Vitunguu maji, swaumu, tangawizi zitakulipa zaidi kuliko kwenda huko Kenya.

Msifanye ushindani wa kuiga angalieni fursa. Kenya hawajatupiga bao bali sisi ndio tumekuwa wazuri katika sera yetu ya kuita wawekezaji.

Na huo ndio muelekeo wa taifa, tunataka makampuni 1000+ ya Kenya yaje kuwekeza TZ kwa kipindi cha miaka 10.
Dada Zawadi Ngoda
Kampuni zaidi ya 500+ za Kenya zimewekeza Tanzania wakati kampuni 30 tu za Tanzania zimewekeza Kenya. Hii unaizungumzaje?
 
Watanzania tunakwamishwa na Watanzania, Wako Watanzania wengi sana wamewekeza Kenya lakini hawajulikani kutokana na Ukiritimba hapa. ukitaka kuhamisha mtaji hapa uwekeze Kenya ni ngumu kuliko kwenda kufungua biashara mpya ikasajiliwa kama ya Kenya

Sent from my vivo 1915 using JamiiForums mobile app
 
Nafuatilia Matangazo ya mubashala mda huu kutokea kenya!!
Kuna Jambo linanistaajabisha kidogo mbona ADF ( Mpambe wa Raisi wetu Mama, Hn. Samia suluhu) Ni Mkenya, Na amevalia kombati ya Jeshi la Kenya!! Hii imekaaje?
 
Tanzania ilikuwa kimbilio la nchi nyingi zenye matatizo, migogoro na vita!

Ilikuwa kinara katika Diplomasia kwenye bara letu la Afrika na hata Ulimwenguni kwa ujumla,

Lakini heshima yetu ilipotea ghafla!

Anachokifanya Rais Uhuru ni kuonesha kuwa heshima ya Tanzania imerudi!

Ni muhimu sasa kuunda mifumo huru na imara ili yaliyotokea yasitokee tena!
 
Wakuu

Kenya ina jumla ya kampuni 529 zinazoendesha shughuli zake nchini Tanzania ambapo zimewekeza Dola za Marekani Bilioni 1.7 na zimeajiri watu 56,260.

Tanzania sisi sasa tuna kampuni 30 tu. Je, tumekwama wapi kama Nchi?

Nini kifanyike? Waalimu, Wahudumu katika hoteli nyingi ni Wakenya. Wapi wizara zetu na wale watoa maamuzi wanaweka mkakati wa pamoja juu ya hili?
Siasa za ujamaa na kujitegemea ndio zimetufikisha hapa. Ujamaa na ubepari ni two antagonistic theories. Mpaka tuje tushtuke basi jua litakuwa lishazama. Kikubwa tujadili namna ya kubadili mitaala ya elimu ikae kuendana na mwenendo wa sasa wa dunia (ubepari wa kisayansi).
 
Back
Top Bottom