Wakenya walitamani Hayati Magufuli angekuwa Rais wao, wamempata Ruto

Burkinabe

JF-Expert Member
Feb 12, 2023
1,896
3,206
Ndugu zangu wana JF, ni matumaini yangu mko sawa kabisa.

Rejea kichwa cha mada chahusika.
Hawa majirani zetu walitamani sana Hayati JPM angekuwa Rais wao enzi za uhai wake.

Binafsi naona kama maombi yao yamejibiwa na Mungu kawajalia kumpata William Samoei Ruto, ambaye ana sifa karibia sawa kabisa na zile alizokuwa Hayati Rais wa Tanzania, Magufuli.

Ombi langu kwa Wakenya ni kuhakikisha wanamlida sana Rais wao ili asije kuwaacha mapema wangali wakimhitaji sana!
 
Kitanda usichokilalia hujui kunguni wake. Wale ni majasiri kuliko sisi angekuwa Rais wao asingechukua hata mwaka wangeandamana hadi mwenyewe angeachia ngazi.
 
Ndugu zangu wana JF, ni matumaini yangu mko sawa kabisa.

Rejea kichwa cha mada chahusika.
Hawa majirani zetu walitamani sana Hayati JPM angekuwa Rais wao enzi za uhai wake.

Binafsi naona kama maombi yao yamejibiwa na Mungu kawajalia kumpata William Samoei Ruto, ambaye ana sifa karibia sawa kabisa na zile alizokuwa Hayati Rais wa Tanzania, Magufuli.

Ombi langu kwa Wakenya ni kuhakikisha wanamlida sana Rais wao ili asije kuwaacha mapema wangali wakimhitaji sana!
Mkuu ahueni ya wakenya wana katiba ambayo Rais wao hana mamlaka makubwa mno ukilinganisha na ilivyo kwa Tanzania.

Kwa hiyo maadhara hasi ya miaka 10 ya Ruto kwa wakenya hayatafikia madhara hasi ya miaka 5 ya Magufuli kwa watanzania!
 
Ndugu zangu wana JF, ni matumaini yangu mko sawa kabisa.

Rejea kichwa cha mada chahusika.
Hawa majirani zetu walitamani sana Hayati JPM angekuwa Rais wao enzi za uhai wake.

Binafsi naona kama maombi yao yamejibiwa na Mungu kawajalia kumpata William Samoei Ruto, ambaye ana sifa karibia sawa kabisa na zile alizokuwa Hayati Rais wa Tanzania, Magufuli.

Ombi langu kwa Wakenya ni kuhakikisha wanamlida sana Rais wao ili asije kuwaacha mapema wangali wakimhitaji
Ngoja waje wale wakenya wa tanzania wakujibu uzi wako!
 
Back
Top Bottom