RWANDES
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,615
- 3,904
Raisi wa Kenya William Ruto ni kama amesahau kuwa alikuwa Makamu wa Rais wa serikali iliyopita kwa sasa ameamua kuisimanga serikali iliyopita kuwa iliharibu uchumi kutokana na hilo naona maneno yaleyale ya hayati JPM kuwa wenzake hakuna alichofanya alivyokuwa akisema jukwanj naona na Ruto anapita humohumo.
Wanasiasa ni ngumu kuwaelewa na kujua kilichopo mioni mwao
Wanasiasa ni ngumu kuwaelewa na kujua kilichopo mioni mwao