Wakenya, Waganda na Warundi Serikalini

Wakenya, Waganda na Warundi Serikalini

...Tanzania inapoitwa shamba la bibi ni kweli....maana kama tungeweza kuwa na vitambulisho vya RAIA haya yasingetokea....Kuna watu wamewahi kuishi na kusomea Tz kama watanzania wakati ni wageni....lakini baadae wakaenda kutumikia mataifa yao baada ya kutugema....mifano ni mingi... Mfano yule Dr. Kaberuka wa Rwanda aliyesoma Tz kama mtanzania na baadae akaenda kuwa mkuu wa Afdb(african dev.bank)...na pia yule Dr.aliyekuwa kitivo cha Eng.pale udsm...ambaye sasa ni mkuu wa chuo Kule Rwanda...We need to tighten our grip on foreigners in Tz...otherwise tutaweka mamluki ikulu....
 
Pale wizara ya Afya nawafahamu mkenya mmoja, nilisoma nae alifanyiwa mchongo na mkenya mwenzake pale Wizarani.

Rushwa ya Tigo nayo imezidi
Mkuu kwenye Mfumo wetu wa Elimu kunahitajika mapinduzi makubwa sana , hii Tabia ya kununua vyeti , kukariri na kuiba mitihani watu hufaulu pasipo kuwa na Taaluma kichwani imetuathiri sana ndiyo wageni wanapiga bao kupitia fursa hiyo hiyo.
 
Wakuu/wazito naomba kwenda mjini kuweka weka (usiku wa leo ni pombe na ngono mpaka che)...... 999 kama ukija nipate tribeka ama club space (ngong rd) nikununulie chupa kadhaa na nikuagizie uber cab ikuchukue na kukupeleka kwako, sina chuki na mtu

 
...Tanzania inapoitwa shamba la bibi ni kweli....maana kama tungeweza kuwa na vitambulisho vya RAIA haya yasingetokea....Kuna watu wamewahi kuishi na kusomea Tz kama watanzania wakati ni wageni....lakini baadae wakaenda kutumikia mataifa yao baada ya kutugema....mifano ni mingi... Mfano yule Dr. Kaberuka wa Rwanda aliyesoma Tz kama mtanzania na baadae akaenda kuwa mkuu wa Afdb(african dev.bank)...na pia yule Dr.aliyekuwa kitivo cha Eng.pale udsm...ambaye sasa ni mkuu wa chuo Kule Rwanda...We need to tighten our grip on foreigners in Tz...otherwise tutaweka mamluki ikulu....
Wapo wengi akina Wamba dia mwamba na wenzao kibao , wanyarwanda ni rahisi kujipenyeza kutokana na wepesi wao kwenye kukinyoosha kiswahili vizuri .
 
siku wakikagua vyeti kuna watu watahara damu
 
siku wakikagua vyeti kuna watu watahara damu
Rushwa ni Adui wa haki hata siku wakiamua kuvihakiki vyeti watashindwa Kama walivyoshindwa kwenye uhakiki wa Mali Za Watumishi wa TRA , wakianza Hilo zoezi wajue kuwa wala Rushwa itakuwa fursa bora kwao.
 
najaribu kukumbusha kuwa huo ujinga ulio nao yapasa uupunguze, mimi niko Nairobi (I work here n cant complain abt pay n benefits) na sijawahi fika Tz even once japo napanga kuja huko sio kikazi bali kuwadinya mabinti wenu hadi kwa settings...wale nimewadinya huku Nairobi humwaga kumwaga then get clingy, otherwise keep off my posts nugu hii
I725qib.gif

Wewe upo nairobi kinachokuleta kwenye hii thread ni nini? Wewe usitufanye sisi mafala wakati unaonyesha upo ndani ya nchi yetu....magufuli atawanyoosha tu, yamewashinda ya el shababa mnakimbilia nchi za watu, tena ninyi na wanyarwanda ndio mmetapakaa huku...subirini tu
 
angalia profile yangu tena, ushoga peleka mbali mburukenge ww..... Mikeyy njoo mchukue mkeo anasumbua watu huku

Tena ninyi mnaojifanya kuweka avatar za namna hiyo hatari sana.dume ka dume halipendezi kuweka profile picha za kijinga! Waivo tunamhesabu ni shoga, so itoe kabla hawajakustukia mazee
 
warundi na wanyarwanda ni wenzetu tuu kumbukeni kabla ya WW2 tulikua nchi moja ya Deutche Ostafrica kama koloni la mjerumani, ni baadae ndo tuligawanywa..kwahio unaposema kuna wanyarwanda/warundi serikalini hio sio kweli ni watanzania wenzetu ila wamefanana tu na hao watu wa huko baada ya huo mgawanyo.Na wengi wao lugha yao ni Kiswahili na hawajui Kinyarwanda au Kirundi mababu wa mababu zao wote walizaliwa Tanganyika na generations over generations wako side ya Tz..tusibague watu kwa kuona au kusikia , ubaguzi haujengi ila unabomoa.
 
Shida ya waTz wengi ni chuki na wivu, kulaumu majirani wenu kwa masaibu yenu
Moja ya sababu za kurudi nyuma kiuchumi ni hili la wageni kujifanya watanzania na kuhamishia utajiri wetu huku kwao
 
naiman64 I agree, hata kwetu Kenya tunapitia hizo changamoto.....lakini msiseme waTz mwadharauliwa kwa hilo, ukija Nairobi vilabu vingi ni miziki ya kibongo na watu wanapenda. Hutosikia hata mkenya mmoja akisema hii miziki ya Tz inaharibu soko la miziki ya kikwetu
Hata sisi tinasikiliza miziki ya kenya, us and others ila sio kuja kenya halafu nikasema mimi mkenya tena nifanye kazi in public sectors
 
Mgongano wa nini hii sio chuki tunataka mkenya aishi hapa kwa amani na pasport ya kenya sio kujificha. Hata kwetu zanzibar wapo wengi wanaofanyakazi mahotelini ukiwauliza atakwambia anatokea tanga au arusha ili kukwepa kodi za uhamiaji na TRA.
 
Ivi M bona wahindi n.a. waarabu huwahamuwaoni n.a. ndio wengi tanzania wasio n.a. vibari vya kuishi au uharari wa kukaa nchini , hawa wa east afrika wapewe vitambulisho kama ilivyo Kenya n.a. Uganda n.a. Rwanda , dhambi ya ubaguzi tuepushe mungu tusijekuwakama bondeni
 
Inashangaza sana katika dunia ya leo,mwafrica bado anaona nongwa mwenzake kupata isitoshe,ubaguzi wa rangi,kabila ndio chimbuko letu. Sio ajabu tuna laana.
Sioni tatizo mkenya,mrundi,au mnyaruanda, na wengine wote nchi jirani kufanya kaz tanzania mana nyinyi watz ni watu wa ajabu na washenzi.
Mimi ningekuwa magufuli nawaacha wafanye kazi na nitawalinda. Watz ni wavivu,wezi,wapenda starehe na kutia a tu.
 
Tatizo kubwa ni utamaduni wa muda mrefu wa kuwa na jamii iliyoendekeza kupiga madili bila mipaka. Nchi za wenzetu rushwa na deals zinafanyika lakini ikifikia masuala nyeti ya kitaifa kama uraia, usalama wa taifa na maslahi mapana ya kichumi, wanachora mstari.

Sio sisi. Si vitambulisho vya kitaifa, passports, vibali vya kufanya kazi, tenda za kijeshi, nyara za taifa, ardhi, n.k. ni ukubwa wa dau la mhusika tu. Haijalishi ni mgeni au Mtanzania. Kwa kifupi, uzalendo zero; umebakia kuwa blabla ya kisiasa zaidi.
 
Haya masuala Renatus Mkinga anayajua sana. Aliwahi kuongea channel ten mada moto nani raia wa tanzania. Alimwaga data za hatari. Mkinga kwa hoya ya Immigration yuko vizuri serikali ingemtumia kwenye mambo ya vetting.

Kuna dada mmoja mkenya alifanya kazi hapo mikocheni taasisi moja ya afya ya umma na akaenda Mzumbe kusoma MBA. Akatafuta boya moja nalo la kimeru la kenya likamuoa huwa nadhani anajiita mtanzania wakati sio
Hapa kwetu watu wenye weledi hawapati kazi,kwa maana uswahiba/ushost ndio vigezo vikuu vya kupata kazi
 
Back
Top Bottom