Wakenya, Waganda na Warundi Serikalini

Wakenya, Waganda na Warundi Serikalini

Wakenya wapo wengi sana kwenye ajira za serikali lakini ukiwahoji wengi wao aidha mzazi wao mmoja ni Mtanzania.
 
Tukubali tukatae watu wanje wachapa kazi. Mimi nilishawahi kufanya nawakenya na waganda private sector niwachapakazi. Ila sisi wabongo kukalia majungu kwawingi ma kulalamika kuhusu ma boss
 
mi mwenyewe nawajua kadhaa, kuna mmoja nimesoma nae, kaajiriwa serikalini na sasa hivi kaomba na chuo na mkopo juu. cheti cha kuzaliwa kafoji lakini sijui pa kuanzia kumripoti. ni mkenya
 
Tukubali tukatae watu wanje wachapa kazi. Mimi nilishawahi kufanya nawakenya na waganda private sector niwachapakazi. Ila sisi wabongo kukalia majungu kwawingi ma kulalamika kuhusu ma boss
Na wewe ni raia wa kenya, uganda, rwanda au burundi? Kama unaona wanachapa kazi kuliko watanzania kwanini wasichape kazi ndani ya nchi zao?
 
mi mwenyewe nawajua kadhaa, kuna mmoja nimesoma nae, kaajiriwa serikalini na sasa hivi kaomba na chuo na mkopo juu. cheti cha kuzaliwa kafoji lakini sijui pa kuanzia kumripoti. ni mkenya
Wasiliana na ofisi ya uhamiaji, Rita, Takukuru, polisi na hata ofisi ya usalama wa taifa wilayani. Usikute ni miongoni mwa wale wanaotumwa na nchi zao kutafuta taarifa nyeti ili kuhujumu nchi yetu. Huyo aliyemsaidia huyo mkenya kubadili nyaraka zake ili aonekane ni mtanzania ni mhaini, tena hata yeye atakuwa sio mtanzania. Kuwa mzalendo kwa nchi yako.
 
mi mwenyewe nawajua kadhaa, kuna mmoja nimesoma nae, kaajiriwa serikalini na sasa hivi kaomba na chuo na mkopo juu. cheti cha kuzaliwa kafoji lakini sijui pa kuanzia kumripoti. ni mkenya
Zitonye mamlaka husika.polisi uhamiaji nk
 
Hapo hazina idara ya sera yupo mkenya anayejiita mjaluo aliywsoma kenya.
Lakini mhh
Wanyarwanda na warundi ndio wengi mno. Wanajiita wahaya na waha lani hawafichiki kwa tabia na roho mbaya zao.
Yuko bodi mmoja alikuwa utumishi aliwajaza wengi mnoo.
 
Wasiliana na ofisi ya uhamiaji, Rita, Takukuru, polisi na hata ofisi ya usalama wa taifa wilayani. Usikute ni miongoni mwa wale wanaotumwa na nchi zao kutafuta taarifa nyeti ili kuhujumu nchi yetu. Huyo aliyemsaidia huyo mkenya kubadili nyaraka zake ili aonekane ni mtanzania ni mhaini, tena hata yeye atakuwa sio mtanzania. Kuwa mzalendo kwa nchi yako.
Aliye msaidia ni classmate wetu, mwenyeji wa kagera. Anasema walikwenda ofisini akamsomesha PS (anaye husika kuandaa vyeti vya kuzaliwa) akampa elfu kumi tu! akapata Cheri cha kuzaliwa. Ndugu was karibu akasaini classmate!
 
Wa mabere sisi waKenya tumekuwa na wakimbizi wa Somalia miaka mingi...hivi sasa wako kwa top 5 most populous ethnic community in Kenya na kumbuka bado tuna tishio la al shabab...wako Eastleigh ambapo wana mabiashara makubwa makubwa but hutowahi sikia wakenya tukisema wafukuzwe coz si wakenya. Kumbuka wengi ni wakimbizi lakini polepole wameanza kutangamana na jamii
Sababu yako mi nzuri ila ukumbuke nndio wanaosababisha ugumu katika kuwatambua magaid na usalama wa kenya,kwakuwa wapo na wanashirikiana na magaid baadhi yao,popote pale unapoishi ishi kialali kwa usalama wa nchi husika,
 
Duh! Isije ikawa wapo mpaka jeshini. Kwa kiasi fulani ninaweza amini unachokisema. Sababu ya kuamini ni kwamba. Niliishi Nairobi kwa miaka mitatu na nusu hivi nikiwa nasoma. Nilikutana na watanzania wengi tu kule. Cha kushangaza ni kuwa. Baadhi yao walikuwa wamejifanya wakenya na mpaka vitambulisho vya uraia wanavyo. Walipojua sisi ni watz walijitambulisha kwetu kwa siri na wakatuambia wamelazimika kufanya hivyo kwasababu za kutafuta maisha ili waendelee kufanya shuguli zao za kiuchumi ambazo kwa kule zilikuwa zimewanyookea. Sasa kama imewezekana kule hata huku inawezekana.
 
Back
Top Bottom