Kwasababu ww ccm mwenzaoWana usalama wapo kwa ajili yetu, wanalinda amani raia na mali zao, hivyo haina haja ya kupost mambo ya kutishana labda uwe ni muhalifu
Nimepita maeneo hayo, nilipowaona tumesalimiana na nimefarijika kuona amani imetamalaki.
Tupunguze kiwango cha ujinga ktk akili zetu.
lugalo ni mitaani?hufahamu kwambi hilo ni enelo la kijeshi?Usalama upi?.kwani zamani kulikuwa HAKUNA usalama?.
Wanajeshi kuingia mitaani kutishana ni ishara mbaya Sana.
Kwani tupo congo hapa?.
Kwanini magufuli hajiamini?.
Ni Mambo ya ovyo kabisa
..Wew zuzu.nini iyo ni kawaida sana Ani....."Njia ya Mwenge hadi Lugalo kama unaelekea Tanki Bovu kuna wanajeshi wenye silaha wanasimamisha magari usiku huu na kuhoji watu wametoka wapi, wanaenda wapi.
Wakikuona umekunywa pombe wanakuzingua! Yaani kuna road blocks kabisa.
Ukiweza, pita barabara nyingine mbadala kuepuka usumbufu.
Ninayo mengi tu, kwanza niletee ule mzigo nauhitaji
Unataka Uhuru gan wa kuandamana au kuna mtu kakukatza kwenda kweny biashara zako.Jiji zima usiku wa leo limetawaliwa na hao watu, hakuna uhuru na amani kabisa.
Danganya totoWanatamba vya mwisho mwisho
Maccm yanatumia minguvu kibaaao kumtuliza lissuMkuu
Tutumie lugha za kistaarabu, kila mtu ana akili hovyo na akili nzuri ina depend na situation.
1. Kwa bahati mbaya tukio linalofanyika lenye lengo jema kwa nini iwe sasa na sihapo mwanzo?
2. Yapo matukio tunapoyapanga sisi wapangaji tuwe tunajiongeza la sivyo siye ndo tutaonekana tuna akili hovyo.
3. Vitisho na taharuki zinazoonekana mitaani zimeanza kuadhili watu kisaikolojia na baadhi wanaanza fikiria kutokwenda kupiga kura kwa kuhofia usalama wao. Hicho ndo tunacho kiita "Juhudi bila maarifa".
Mwisho:
Askari wetu in general wafundishwe kuwa na adabu kwa wananchi. Maana wana adabu kwa viongozi wao tu.
Inaonekana hujielewi we Mbwa kbhxa..." Mimi Sina chama ila umeandika ujinga mtu...Vyombo vya ulinzi na usalama Tanzania vimejigeuza chama cha mapinduzi! CCM wenyewe wametulia tuli wamewaachia hao JWTZ,TISS, POLISI, na maafisa wengine wa serikali wakiipigania CCM iingie madarakani!
Hakuna uhuru upi? Ukiona unajishuku hivyo basi una matatizoJiji zima usiku wa leo limetawaliwa na hao watu, hakuna uhuru na amani kabisa.
Wew ulisoma Uraia kweli ....nina mashaka Kama una shule kicuwan mwako" ......Siku zote walikuwa wapi?
Asante kwa kuwambia ukweli watu wamezidi upotoshaji sanaWana usalama wapo kwa ajili yetu, wanalinda amani raia na mali zao, hivyo haina haja ya kupost mambo ya kutishana labda uwe ni muhalifu
Nimepita maeneo hayo, nilipowaona tumesalimiana na nimefarijika kuona amani imetamalaki.
Tupunguze kiwango cha ujinga ktk akili zetu.
Wavamizi wa Mtwara wanaelekea Lugalo nini? Siku zote ukiwa unataka kuingia jeshini ndio mnakutana na maswali yao. Ila njiani? Watu wanapitia hapo siku zote na hakuna kusimamishwa.lugalo ni mitaani?hufahamu kwambi hilo ni enelo la kijeshi?
Ungeniambia wanajeshi wapo tandale kwa mtogole ningekuelewa.wanajeshi kulinda eneo lao imekuwa nongwa?
...Umenikumbusha mbali sana.."Pray for akwilina
Ujinga upunguze wwWana usalama wapo kwa ajili yetu, wanalinda amani raia na mali zao, hivyo haina haja ya kupost mambo ya kutishana labda uwe ni muhalifu
Nimepita maeneo hayo, nilipowaona tumesalimiana na nimefarijika kuona amani imetamalaki.
Tupunguze kiwango cha ujinga ktk akili zetu.
...Huko wapo wa kutosha acha Upoporo.."Wanasimamisha watu wa Nini,si waende mtwara mpakani na msumbiji,waache kazi za polisi na mgambo
lugalo ni mitaani?hufahamu kwambi hilo ni enelo la kijeshi?
Ungeniambia wanajeshi wapo tandale kwa mtogole ningekuelewa.wanajeshi kulinda eneo lao imekuwa nongwa?
umekariri misha,unapoimaliza mwenge na kukaribia daraja la mlalakua kuna bango kubwa linakutahadharisha kwamba unaingia eneo la kambi ya jeshi,hivyo hivyo ukiwa unatokea tegeta,ukifika kilimani njia panda ya kawe kuna bango.Wavamizi wa Mtwara wanaelekea Lugalo nini? Siku zote ukiwa unataka kuingia jeshini ndio mnakutana na maswali yao. Ila njiani? Watu wanapitia hapo siku zote na hakuna kusimamishwa.
kwa hiyo unawapangia jinsi ya kufanya ulinzi?Kwani siku zote uwa wanaweka barrier HAPO?kwanini uchaguzi huu ndo wakae hapo barabarani Tena wanakagua magari?.
Ndo maana unajiita " Mjingiwew"Tumekuwa Rwanda sasa.
Uchaguzi gani uliona wanajeshi wanakaa barrier pale lugalo?