Wakazi wa Dar: Tahadhari, epuka njia hii usiku huu

Wana usalama wapo kwa ajili yetu, wanalinda amani raia na mali zao, hivyo haina haja ya kupost mambo ya kutishana labda uwe ni muhalifu

Nimepita maeneo hayo, nilipowaona tumesalimiana na nimefarijika kuona amani imetamalaki.

Tupunguze kiwango cha ujinga ktk akili zetu.
Kwasababu ww ccm mwenzao
 
Usalama upi?.kwani zamani kulikuwa HAKUNA usalama?.
Wanajeshi kuingia mitaani kutishana ni ishara mbaya Sana.
Kwani tupo congo hapa?.
Kwanini magufuli hajiamini?.
Ni Mambo ya ovyo kabisa
lugalo ni mitaani?hufahamu kwambi hilo ni enelo la kijeshi?
Ungeniambia wanajeshi wapo tandale kwa mtogole ningekuelewa.wanajeshi kulinda eneo lao imekuwa nongwa?
 
Njia ya Mwenge hadi Lugalo kama unaelekea Tanki Bovu kuna wanajeshi wenye silaha wanasimamisha magari usiku huu na kuhoji watu wametoka wapi, wanaenda wapi.

Wakikuona umekunywa pombe wanakuzingua! Yaani kuna road blocks kabisa.

Ukiweza, pita barabara nyingine mbadala kuepuka usumbufu.
..Wew zuzu.nini iyo ni kawaida sana Ani....."
 
Mkuu
Tutumie lugha za kistaarabu, kila mtu ana akili hovyo na akili nzuri ina depend na situation.
1. Kwa bahati mbaya tukio linalofanyika lenye lengo jema kwa nini iwe sasa na sihapo mwanzo?
2. Yapo matukio tunapoyapanga sisi wapangaji tuwe tunajiongeza la sivyo siye ndo tutaonekana tuna akili hovyo.
3. Vitisho na taharuki zinazoonekana mitaani zimeanza kuadhili watu kisaikolojia na baadhi wanaanza fikiria kutokwenda kupiga kura kwa kuhofia usalama wao. Hicho ndo tunacho kiita "Juhudi bila maarifa".
Mwisho:
Askari wetu in general wafundishwe kuwa na adabu kwa wananchi. Maana wana adabu kwa viongozi wao tu.
Maccm yanatumia minguvu kibaaao kumtuliza lissu
 
Vyombo vya ulinzi na usalama Tanzania vimejigeuza chama cha mapinduzi! CCM wenyewe wametulia tuli wamewaachia hao JWTZ,TISS, POLISI, na maafisa wengine wa serikali wakiipigania CCM iingie madarakani!
Inaonekana hujielewi we Mbwa kbhxa..." Mimi Sina chama ila umeandika ujinga mtu...

Kinachomwingiza kiongoz wako ikulu ni kura yako si hao CCM sijui , JWTz., Mara sijui Bibi ako kawaje ... Be logic acha upoporo dingi..:
 
Wana usalama wapo kwa ajili yetu, wanalinda amani raia na mali zao, hivyo haina haja ya kupost mambo ya kutishana labda uwe ni muhalifu

Nimepita maeneo hayo, nilipowaona tumesalimiana na nimefarijika kuona amani imetamalaki.

Tupunguze kiwango cha ujinga ktk akili zetu.
Asante kwa kuwambia ukweli watu wamezidi upotoshaji sana
 
lugalo ni mitaani?hufahamu kwambi hilo ni enelo la kijeshi?
Ungeniambia wanajeshi wapo tandale kwa mtogole ningekuelewa.wanajeshi kulinda eneo lao imekuwa nongwa?
Wavamizi wa Mtwara wanaelekea Lugalo nini? Siku zote ukiwa unataka kuingia jeshini ndio mnakutana na maswali yao. Ila njiani? Watu wanapitia hapo siku zote na hakuna kusimamishwa.
 
Wana usalama wapo kwa ajili yetu, wanalinda amani raia na mali zao, hivyo haina haja ya kupost mambo ya kutishana labda uwe ni muhalifu

Nimepita maeneo hayo, nilipowaona tumesalimiana na nimefarijika kuona amani imetamalaki.

Tupunguze kiwango cha ujinga ktk akili zetu.
Ujinga upunguze ww
 
Kwani siku zote uwa wanaweka barrier HAPO?kwanini uchaguzi huu ndo wakae hapo barabarani Tena wanakagua magari?.
lugalo ni mitaani?hufahamu kwambi hilo ni enelo la kijeshi?
Ungeniambia wanajeshi wapo tandale kwa mtogole ningekuelewa.wanajeshi kulinda eneo lao imekuwa nongwa?
 
Wavamizi wa Mtwara wanaelekea Lugalo nini? Siku zote ukiwa unataka kuingia jeshini ndio mnakutana na maswali yao. Ila njiani? Watu wanapitia hapo siku zote na hakuna kusimamishwa.
umekariri misha,unapoimaliza mwenge na kukaribia daraja la mlalakua kuna bango kubwa linakutahadharisha kwamba unaingia eneo la kambi ya jeshi,hivyo hivyo ukiwa unatokea tegeta,ukifika kilimani njia panda ya kawe kuna bango.
 
Back
Top Bottom