Wakati unaachwa ulipewa sababu gani?

Wakati unaachwa ulipewa sababu gani?

Wangu nilimwacha mwenyewe sipendagi ujinga kabisa.

Usiku 1 nilimpigia simu akapokea kidume mwenzangu bwana,kwenye namba ya yule niliekuwa namwaitwa baby wangu,cha ajabu mwamba alinambia "Aisee we vipi mbona msumbufu watu wamepunzika saivi".

Pale pale nikasema inatosha na hiyo nilitoka safari 1 tu kwenda mkoa mwingine na kumwacha peke yake.
Duuu,[emoji848]
 
Aliniacha sababu sikumpa mbususu nikidhani bado ni mapema hadi tufahamiane na kuzoeana zaidi, eeh kikafuata kibuti heavy nimebaki nalia lia tu maana i truly loved him[emoji19][emoji19]
Njoo basi kwangu mrembo hutojutia.
 
Baada ya kumaliza kozi jkt mujibu wa sheria siku tunarudishiwa simu tu nikajiunga mwenyewe nimtafute mpenzi ile namtumia sms "mambo bby" alichonijibu sasa nan baby wako akasema mm sio baby wako sikujui mm itakua umekosea namba hakyamungu pitshort niliiona nzito had leo hii anajifanya kujtumisha mesej m namzoom tu
[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Wangu alinitext tuachane nimempata anae nifaa nikamjibu powa. Baada ya week anamtuma rafiki yake kuja kumuombea msamaha... Nikamshika mkono kuelekea chumbani huku nikimwambia njoo nikueleze kila kitu alichonifanyia mwenzio, kufika chumbani nikaanza kumvua nguo moja baada ya nyingine tena bila kipingamizi maana nikama vile alipigwa na butwaa akawa anashangaa tu. Hii nilikula kimasihara wakuu mpaka leo bado najipigia mda wowote ninaotaka.
 
Kuanzia sasa naomba tuachane uwezi kulea mimba au nikipata tatizo lolote
Siku mjibu nikawa kimya...
Ikapita Week 2 akanichek ninamimba nikamjibu sawa.ongera jambo la kheri.
Ila ni ya X wangu anakipato kizur cha kulea mimba na mtoto.nikamjibu sawa ila naomba usinitafute tena mahana msichana nilie nae sasa ni mkali mno..
Baada ya mudah rafiki yake ananiambia ile mimba ilipimwa DNA na kuonekana sio yake jamaa amesitisha uduma..

Sent from my TECNO CA6 using JamiiForums mobile app

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1602]
 
Back
Top Bottom