Netanyahu na baraza la vita walia vibaya kwenye maziko ya General Gal,mtoto wa waziri aliyeuliwa na Hamas

Webabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
7,195
10,929
Japo wameshaua wapalestina zaidi 20 ukiunganisha na wale walio chini ya kifusi hata hivyo kifo cha askari mmoja wa cheo cha juu kumewahuzunisha sana viongozi wa Israel akiwemo kamanda mkuu wa vita baina yake na wanamgambo wa Hamas.
Baba yake meja Gal huku akilia na kukumbatia jeneza la mwanawe huko Jerusalem alisema huku akimwita mwanawe maiti "Gal,Mimi nina uhakika tutaendelea kuilinda nchi uliyoipenda na tutakuwa washindi.."
Naye Benjamin Netanyahu akasema vifo vya mashujaa wao havitokei bure na kwamba watapigana mpaka ushindi upatikane.
Miongoni mwa waliohudhuria mazishi hayo ni waziri wa zamani wa ulinzi Benny Gantez ambaye ni mpinzani wa Netanyahu aliyekubali kujiunga katika baraza la vita kupambana na Hamas.
1702095110483.png
 
Japo wameshaua wapalestina zaidi 20 ukiunganisha na wale walio chini ya kifusi hata hivyo kifo cha askari mmoja wa cheo cha juu kumewahuzunisha sana viongozi wa Israel akiwemo kamanda mkuu wa vita baina yake na wanamgambo wa Hamas.
Baba yake meja Gal huku akilia na kukumbatia jeneza la mwanawe huko Jerusalem alisema huku akimwita mwanawe maiti "Gal,Mimi nina uhakika tutaendelea kuilinda nchi uliyoipenda na tutakuwa washindi.."
Naye Benjamin Netanyahu akasema vifo vya mashujaa wao havitokei bure na kwamba watapigana mpaka ushindi upatikane.
Miongoni mwa waliohudhuria mazishi hayo ni waziri wa zamani wa ulinzi Benny Gantez ambaye ni mpinzani wa Netanyahu aliyekubali kujiunga katika baraza la vita kupambana na Hamas.
View attachment 2837219
Kisasi cha kifo hiki kinaweza kuwa kibaya sana kwa Wapalestina.
 
Kisasi cha kifo hiki kinaweza kuwa kibaya sana kwa Wapalestina.
Hakuna nguvu ya kupiga waliyonayo mayahudi ukiondoa nyuklia kule ile waliyoitumia baada ya oktoba 7 mpaka vita vilipositishwa kwa wiki moja.
Nakuhakikishia wakishindwa kuokoa mateka na vifo kuongezeka upande wao basi baada ya mwezi vita vitawageukia vibaya Israel.
 
Kama kuna silaha ambayo hawajatumia labda nuclear tu hila mpk mabomu yaliyopgwa marufuku yameshatumika sasa sijui kuna jipya lipi unalotaka kusema kuwa watafanya
Hamas wakaze kamba tu na Allah awathibitishe katika nia na mapigo yao.Muda si mrefu vita vitabadilika na kusambaratisha kitu kilichokuwa hakikutarajiwa.
 
watoto na wamama ndio wanalipia gharama ya hii vita
Hilo ndilo wanaoweza israhell maana kuwakamata hamas ama kuokoa mateka wao hilo hawawezi
Kwani hata kule ukingo wamagharibi napo pia watoto na wa mama pia si wanalipia gharama kubwa licha yakua hawapo vitani
 
Wapalestina wamezoea kufa nashangaa hawa jamaa kafa sijui mtoto wa nani serikali nzima inalia.
Mkuu,
Sifikiri ni sawa kusema maneno haya. Hakuna mtu anayesema tumezoea kufa, ukiangalia watu wanavyoteseka huko huwezi sema watu wamezoea kufa.
Ni vile hawana namna lakini hakuna anayependa yale maisha.

Ilibidi wapambane kulinda raia zao, kwanini israel wanalinda raia zao ilibidi wafanye vivyo hivyo kwa palestine. Raia watafutiwe sehemu maalumu.

Hatuoni uzito sababu hatupo kule ila roho inauma watu wanavyopotea.
 
Mkuu,
Sifikiri ni sawa kusema maneno haya. Hakuna mtu anayesema tumezoea kufa, ukiangalia watu wanavyoteseka huko huwezi sema watu wamezoea kufa.
Ni vile hawana namna lakini hakuna anayependa yale maisha.

Ilibidi wapambane kulinda raia zao, kwanini israel wanalinda raia zao ilibidi wafanye vivyo hivyo kwa palestine. Raia watafutiwe sehemu maalumu.

Hatuoni uzito sababu hatupo kule ila roho inauma watu wanavyopotea.
Unasema ukweli kabisa lakini wapalestina hawana namna zaidi ya kuzoea na kupambania ardhi yao . Unajua unaweza kuteseka sana mpaka moyo ukazoea maumivu hii ndio hali wanayokutana nayo wapalestina kwa sasa. Israeli hawajazoea vifo vingi kwa wakati mmoja kwahiyo hii hali ya taifa zima kulia kwa pamoja ni ya mpito tu na wao mioyo itafika mahali itakufa ganzi. Haki haiombwi.
 
oktoba 7 mpaka vita
Israel anasahau haraka. Russia hacheki na msaliti. Israel alimsaliti Russia pale pale Syria.

Inasemekana, Russia aliomba kukaa pale Latkia/Syria na kuweka base yake in a Way kumlinda Israel. Sasa Israel kwa kibri akaua askari wa kielekroniki walikuwa kwenye ndege ya Uchunguzi ya Russia pale Syria kwa kuzubaisha mitambo ya Syria kuifyatulia kombora ndege hiyo ya Uchunguzi.

Israel waligundua hasira za Russia, kiasi cha kwenda Moscow kuomba msamaha na alikwenda Waziri Mkuu wa Israel mwenyewe. Hiki kisa nadhani bado hamjakisahau.

Russia hasamehi kirahisi Rahisi, waweza kukuta huyo Kamanda aliyeondoka ndiye aliamrisha shambulizi like la askari wa Russia kule Syria. Nawaza!!!
 
Back
Top Bottom